Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Kwani Dodoma hakuna uwanja hadi waende uwanja wa Taifa,kama si matumizi mabaya ya waziwazi ya KODI zetu.NAULI,CHAKULA NA STAREHE zingine walizozifanya si wametumia fedha yetu acha kushabikia upuuzi mtoa mada
Waliweza kupunguza vitambi vyao palepale Dom
Wewe mbona sikusomi. Ume-quote maandishi yangu halafu unachoandika hakihusiani na nilichoandika. Mwee...hang over ya nini mkuu hiyo, matap tap?