Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Yetoo,chunga sana ushauri unaotolewa kwenye jamvi hili,soma waliyoandika kisha changanya na za kwako.
By the way usilolijua ni usiku wa giza,siku nyingine think twice kabla hujagusa simu ya mmeo unless umechoka na ndoa yako na unatafuta mlango wa kutokea.
By the way usilolijua ni usiku wa giza,siku nyingine think twice kabla hujagusa simu ya mmeo unless umechoka na ndoa yako na unatafuta mlango wa kutokea.