kaa chini familia njema hujengwa na wanafamilia(baba+mama), muonye akijua kuwa umeishafahamu kila kitu.....refresh na uruhusu nafasi ya kuombwa msamaha na kusahau muanze maisha upya....kumbuka kutafuta wako ama kuripiza haitakusaidia kwani ndio unaongeza kuunganishwa na watu wengi zaidi na kumbuka kuwa binadamu wote tu sawa hakuna aliye nafuu wala afadhali wate tu wakosefu, kaa chini na huyo mume wako myazungumze msiruhusu watu kutoka nje kuja kuamua mambo ya ndani ya ndoa yenu kwani hao ndio watakuharibia kabisa....mwambie mume wangu "Tulizana"
yaaaani! Tena inabidi kupanga na maamuzi utakayochukua mapema sio ukishapata ulichokitaka unabaki dilemma.
Nilichokitafuta nimekipata,hii imenitokea jana;
Mimi niliolewa miaka mitatu iliyopita,tuliishi kwa furaha na upendo mimi na mume wangu.Mwaka jana nilianza kuhisi mahusiano ya mume wangu na secretary wake si ya kawaida,niliamua kumuuliza mume wangu kwa utaratibu ila alikana na kunitoa wasiwasi kuwa hakuna kitu kama hicho.Tuliendelea ila nilikua bado naona movement zisizoeleweka za mume wangu na secretary wake.
Juzi usiku nikaamua kubadilisha(edit) no ya huyo secretary wake;nilichofanya nilizifuta nikaweka no.zangu kwenye jina lake na kwenye jina langu nikaweka no.za secretary.Jana asbh nikiwa ofisini nikapata msg ya kwanza kutoka kwa mume wangu akijua anamtext secretary na chat ziliendelea kama ifuatavyo;
Mume wangu:Gmorning darling leo nitachelewa kufika ofisini
Secretary (mimi):morng to u hny unapitia wapi?
Mume wangu:Napitia mjini kuna kikao nikiwahi nitakuja kukuchukua twende lunch then............
Secretary (mimi):Siku hizi umenitosa sana au mke wako kakubana?
Mume wangu:Aaaaah wapi yule hawezi kunibana mimi kwani hakufikii kabisa
Secretary(mimi):MMMH hanifikii kwa lipi?
Mume wangu: yeye si mtamu kama wewe,baby you are so sweet,cant wait to hold and .......you hardly.
Nilitetemeka jasho likanitoka nikaomba ruhusa ofisini nikarudi nyumbani,jioni anafika nikamuonyesha zile msg zake hakuongea chochote na mpaka sasa hajibu chochote wala haongei na mimi.
Wanajamii mmekua wa kwanza kuelezewa huu mkasa na sitarajii kumueleza mtu mwingine yeyote.
Nawaomba ushauri nifanyeje???
pole sana, ila nawaomba akina dada acheni kazi za upelelezi kwa waume wenu nanyi akina kaka vilevile.mwisho wa siku mtakuja kufa kwa presha.
yetoo pole sana mamii kwa mkasa uliokupata. binafsi ninamshukuru sana Mungu kwa kufunlia haya mapema ili ujue utajipangaje kusali ili kurekebisa tabia ya mumeo.
Binafsi sikushauri uondoke ama ugombane na mumeo, ila nakushauri wewe maadam umesmwambia kaa kimya tu hii kimya ni dawa sana manake atajiuliza nini kinachoendelea.Jitahd sana kutimiza wajibu wako kama mama, asikukute na kosa kuanzia kwenye usafi wa nyumba, watoto na hata mapishi. pia ujipende zaid wewe jiweke smart muda wote yaani ukienda kulala, kama ndo unataka utoke vile na ukipika kama ndo uko oficn vile. yaani nyumban jiweke pambo hasa, usiku na mchana. kisha jitahd sana kuwa unajitoa out kupata good times.
ninachoamni mimi mumeo bado anakupenda sana na ni mtu mzuri sana ila tu iyo ilikuwa ni gia ya kupata penzi la huyo sec wake. so wewe mzid sec kwa kila engo huku ukiwa mole sana ashindwe kujua umepata mwingine a ni nini?FYI wanaume wengi ukiwachunia huwa wanaumia sana tena wanajiulizaga naibiwa ama so usione tabu kuendelea na commitment zako za ndni yeye mwache kwassababu anajua umesha mshika live. pia usiache kumwombea kwani maombi ndio silaha ya kumrudisha mumeo na kumlinda dhidi ya makahaba ma dia.
kama unaukmbuka ushuhuda wangu hapa, ni sala tu na ukimya ulimfanya hubby akamtimua kimada wake mbele ya macho yangu na sikuwa mnafiki aisee nilitimiza wajibu wangu kwa dhati na hata ingetokea mgeni kaja asingeweza kugundua kama kunatatizo genuine. iyo ilikuwa ni silaha sana kwangu na mwisho wa siku nilishinda.
yetoo pole sana mamii kwa mkasa uliokupata. binafsi ninamshukuru sana Mungu kwa kufunlia haya mapema ili ujue utajipangaje kusali ili kurekebisa tabia ya mumeo.
Binafsi sikushauri uondoke ama ugombane na mumeo, ila nakushauri wewe maadam umesmwambia kaa kimya tu hii kimya ni dawa sana manake atajiuliza nini kinachoendelea.Jitahd sana kutimiza wajibu wako kama mama, asikukute na kosa kuanzia kwenye usafi wa nyumba, watoto na hata mapishi. pia ujipende zaid wewe jiweke smart muda wote yaani ukienda kulala, kama ndo unataka utoke vile na ukipika kama ndo uko oficn vile. yaani nyumban jiweke pambo hasa, usiku na mchana. kisha jitahd sana kuwa unajitoa out kupata good times.
ninachoamni mimi mumeo bado anakupenda sana na ni mtu mzuri sana ila tu iyo ilikuwa ni gia ya kupata penzi la huyo sec wake. so wewe mzid sec kwa kila engo huku ukiwa mole sana ashindwe kujua umepata mwingine a ni nini?FYI wanaume wengi ukiwachunia huwa wanaumia sana tena wanajiulizaga naibiwa ama so usione tabu kuendelea na commitment zako za ndni yeye mwache kwassababu anajua umesha mshika live. pia usiache kumwombea kwani maombi ndio silaha ya kumrudisha mumeo na kumlinda dhidi ya makahaba ma dia.
kama unaukmbuka ushuhuda wangu hapa, ni sala tu na ukimya ulimfanya hubby akamtimua kimada wake mbele ya macho yangu na sikuwa mnafiki aisee nilitimiza wajibu wangu kwa dhati na hata ingetokea mgeni kaja asingeweza kugundua kama kunatatizo genuine. iyo ilikuwa ni silaha sana kwangu na mwisho wa siku nilishinda.