Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
Ahsante kwa kunipa hiyo 'teknik'...maana 'mamsap' na boss wake siwaelewi elewi!
kapime kwanza sukari na pressure kama viko sawa fanya hiyo mchezo Ariffu
Ahsante kwa kunipa hiyo 'teknik'...maana 'mamsap' na boss wake siwaelewi elewi!
Ahsante kwa kunipa hiyo 'teknik'...maana 'mamsap' na boss wake siwaelewi elewi!
Na kweli umekipata hebu soma sredi ya mambo ya simu na mahusiano ipo apo juu kabisa. Pole
hahahahaaaaa
jino kwa jino lol
mi nlishawaambia wadada ukitaka kufatilia sim ya mumeo hakikisha una kifua na huna magonjwa ya moyo lol.....
[/COLOR]
hayo ndio maisha, kama ndoa bado ina amani na upendo hakuna sababu ya kutafuta ushahidi wa maovu ya mwenzi wako wakati unajua huna uwezo wa kufanya maamuzi magumu.siendaga ndani kutafuta vilivojificha labda siku niwe nimeamua kufanya maamuzi magumu..
KK III tuna mtoto mmoja,kwani siwezi kuepusha msongmano hata kama tuna mtoto?