Nilichogundua kuhusu Arusha

●●●HAHAHAHA....!!!!●●●

Wewe bado hujaifahamu Arusha hata kidogo. Ukiwa Arusha kama ni starehe utaenjoy hivi vyoote vifuatavyo:-

1) Climatic Condition:

Kanda ya kaskazini kwa ujumla climate yake ni nzuri sana especcially Arusha na Kilimanjaro.

2) Good & Executive Hotels,

Hotel zote kubwa za Arusha ni za 5 * na zipo za kutosha

3) Misosi, Nyamachoma, All fast foods mpaka vyakula vya asili ya kimasai na kichagga.

Kumbuka: wachoma nyama wazuri wanatokea huku na sio wale wa Dsm wanaobabua nyama kama mahindi ya kuchoma.

4) Arusha ipo karibu sana na Airports 3, yaani KIA, JKIA na mdogo wa Kisongo.

5) Swimming pools za hadhi nzuri sana

6) RALLY & Horse Ridding Je?

zipo karibu kiiila mara na maeneo yaliyotengwa kwaajili hiyo.

7) Really National Parks

ie. Ngorongoro, Manyara, Arusha National Parks, Tarangire.

8) Mt. Meru Je?

Kumbuka: after Kilimanjaro Mt. inafuata Mt. Meru na ina barafu throughout

9) Uoto wa Asili je?

Huko Olmotonyi Forest unapajua?

10) Water falls je?

Kuanzia Duluti juu, Meru na Ilboru juu zipo

11) Bar & Night Clubs Je?

Club D, Masai Camp, Apex, Babylon, Via Via.


12) Mito na Mabonde je?


13) HipHop Musics Je?

Unawajua hawa?

-Watengwa?
-Weusi?
-Nako2Nako
-Juniour Nakoz


Sasa umeifahamu Arusha? Usiishie Stand Mgeni. Karibu....

●ILA WARNING:
Ukitaka kuijua Arusha uwe na PESA.
umesahau
Waturutumbi
Vatoloco
Arusha na Mbeya maJiJi bora kabisa Tanzania
 
Mtu anayekuja Arusha anasema Arusha si pazuri anashida zake tu, hajiu lolote kuhusu A City. Umekuja Arusha kufanya nini? Unachapaa kwenda sehemu nzuri? Kumbuka mgeni yeyote mtalii anaweza zunguka Tz lakini akifika Arusha anajua amefika sehemu ya kipekee Tz. Kuanzia hotels, hali ya hewa, watu wake and everything.

Tatizo watanzania wengi wanaotoka mikoa isiyo ya kitalii ni "washamba" na hawajui lolote kuhusu lifestyle ya Arusha na uzuri wake. Hii ndio sababu kuu. Watu wa Arusha ni kama Nairobi....no nonsense type.

Arusha all day everyday
 
labda arusha ni pabaya sana ila hata paikiwa puzuri kuna maghorofa na kila kitu wewe itakusaidia nn? Hiyo mikoa mizuri mizuri inakusaidia nn kwenye maisha yako? Maghorofa na hoteli na kila kitu vina wenyewe tafuta vyako ufanye kwako pawe pazuri.
Akili ndogo
 
Yaani umeishia kwenda stend tu unadai unaijua arusha ya kishamba tafuta mtu mwnyj akuonyeshe arusha ilivyo kisha uje ulete marejsh hapa...kuhusu Stend ya mabasi ilitengewa eneo kubwa na ni mda mrefu sana maeneo ya morombo ila ndo hvy mpk leo hakijA endelezwa bado..Na hyo ya daladala mitaa ya kirombero ilianza hivi karbuni tu hvyo siku sio nyingi nacho kitaendelezwa na kuwekwa vzr.Ila nikwambie tu kuna vitu vinazidi kuboreshwa ili kuliongezea jiji la arusha hadhi mara mbili zaidi
 
Haina stendi ya maana si ya daladala wala mabasi, maendeleo kama yanaenda kwa kusua sua, boda boda mmoja kaniambia angendelea mkwere wangekua mbali,

ila mwenyeji mmoja kaniambia atanionyesha sehemu kadhaa zitakazonifanya niamini kwamba Moshi kwa Arusha si chochote,

Japo upande wa population naona wapo vizuri, kama upo Arusha niambie ni wapi nikienda nitapiga salute na kuacha kufananisha huu mji na sehemu za kawaida, asanteni
Mkuu vipi pale mrina hujafika nini??
 
Haina stendi ya maana si ya daladala wala mabasi, maendeleo kama yanaenda kwa kusua sua, boda boda mmoja kaniambia angendelea mkwere wangekua mbali,

ila mwenyeji mmoja kaniambia atanionyesha sehemu kadhaa zitakazonifanya niamini kwamba Moshi kwa Arusha si chochote,

Japo upande wa population naona wapo vizuri, kama upo Arusha niambie ni wapi nikienda nitapiga salute na kuacha kufananisha huu mji na sehemu za kawaida, asanteni
Nadhani mtoa Uzi ni mtu wa public transport sana ndio maana kaanza na bus stand... that is good observation
Ila ungezungumzia nayaliokuvutia sio umeishia kuponda tu
 
●●●HAHAHAHA....!!!!●●●

Wewe bado hujaifahamu Arusha hata kidogo. Ukiwa Arusha kama ni starehe utaenjoy hivi vyoote vifuatavyo:-

1) Climatic Condition:

Kanda ya kaskazini kwa ujumla climate yake ni nzuri sana especcially Arusha na Kilimanjaro.

2) Good & Executive Hotels,

Hotel zote kubwa za Arusha ni za 5 * na zipo za kutosha

3) Misosi, Nyamachoma, All fast foods mpaka vyakula vya asili ya kimasai na kichagga.

Kumbuka: wachoma nyama wazuri wanatokea huku na sio wale wa Dsm wanaobabua nyama kama mahindi ya kuchoma.

4) Arusha ipo karibu sana na Airports 3, yaani KIA, JKIA na mdogo wa Kisongo.

5) Swimming pools za hadhi nzuri sana

6) RALLY & Horse Ridding Je?

zipo karibu kiiila mara na maeneo yaliyotengwa kwaajili hiyo.

7) Really National Parks

ie. Ngorongoro, Manyara, Arusha National Parks, Tarangire.

8) Mt. Meru Je?

Kumbuka: after Kilimanjaro Mt. inafuata Mt. Meru na ina barafu throughout

9) Uoto wa Asili je?

Huko Olmotonyi Forest unapajua?

10) Water falls je?

Kuanzia Duluti juu, Meru na Ilboru juu zipo

11) Bar & Night Clubs Je?

Club D, Masai Camp, Apex, Babylon, Via Via.


12) Mito na Mabonde je?


13) HipHop Musics Je?

Unawajua hawa?

-Watengwa?
-Weusi?
-Nako2Nako
-Juniour Nakoz


Sasa umeifahamu Arusha? Usiishie Stand Mgeni. Karibu....

●ILA WARNING:
Ukitaka kuijua Arusha uwe na PESA.
Nyumbani one hiyooo!!!
 
Back
Top Bottom