Nilichogundua kuhusu Arusha

Jiji la pili kwa blah blah zako tu... Moshi kamwe haiwezi kuwa Jiji sababu hakuna mchagga atatoa ardhi yake bure eti ili mji upate heshima ya jiji.. Hell no, na kama watatoa hizo pesa za serikali kufidia wala hawatakuwa nazo...

Acha watu muitwe jiji angali mnalala njaa... Soon nakuletea data za NBS zikionyesha Mwanza ilivyotupwa mbali na Arusha na Kilimanjaro kwenye sekta ya biashara.. Kidogo kidogo tu utaelewa na si blah blah... Hapa twende na data na tafiti tu si maneno ya vijiweni
Hivi ardhi ni ya serikali au mchaga??
 
Sema stendi ya moshi inaizidi ile ya arusha hapo tutakuelewa tu kwasababu stendi ya moshi ni kubwa kidogo ukilinganisha na ile ya arusha. Yaani ina segment mbili za magari ya ndani ya mkoa na mabasi ya mikoani. Lakini.siyo kuleta blah blah na dharau zako kuishusha stendi ya msamvu
 
Haina stendi ya maana si ya daladala wala mabasi, maendeleo kama yanaenda kwa kusua sua, boda boda mmoja kaniambia angendelea mkwere wangekua mbali,

ila mwenyeji mmoja kaniambia atanionyesha sehemu kadhaa zitakazonifanya niamini kwamba Moshi kwa Arusha si chochote,

Japo upande wa population naona wapo vizuri, kama upo Arusha niambie ni wapi nikienda nitapiga salute na kuacha kufananisha huu mji na sehemu za kawaida, asanteni, ila kwa muda wote niliokaa Arusha nimeshangaa sana uzuri wa sura wa mabinti hadi nikatengeneza principal kwamba ukiwa Arusha angalia shape tu sura wengi wazuri kama siyo wote, Arusha na Singida si mchezo kwa upande huwo, maendeleo yapigianeni, Japo njiro na baadhi ya maeneo ni pazuri pia, Unga limited nasikia hapapitiki usiku ni shida, shivers nilikaribishwa nimmepaona lakini hicho siyo kiashiria cha maendeleo Japo kuna wadada wazuri hataree

Kweli stendi ya mabasi ya mikoani imepitwa na wakati. Sisi wakazi wa Jiji hili tunaishauri halmashauri ichukue uwanja uliokuwa wa manyesho ya biashara kusherehekea miaka 10 ya Azimio la Arusha ulioko Sakina na kuufanya stendi ili kuondoa msongamano wa magari katikati ya Jiji. Hicho kitakuwa kitega uchumi kizuri cha Jiji letu kwani kuna eneo kubwa hata kwa maduka ili wafanyabiashara wadogo wote wahamie hapo. Tatizo ni kuwa CCM walinyakua eneo hilo ingawa serikali ililinunua kwa fedha za kodi kutoka kwa wenyeji kwa ajili ya maonyesho hayo. Ni wakati muafaka Ba
raza la madiwani kupeleka maombi kwa rais afute hati ya CCM ili eneo lirejee serikalini kwa manufaa ya umma.
 
Back
Top Bottom