elimuplatform
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,054
- 462
- Thread starter
- #41
Mazuri yapo mengi ila nimeshangaa nyumba inaweza ikawa haijaisha vizuri lakini ina vioo aluminumNadhani mtoa Uzi ni mtu wa public transport sana ndio maana kaanza na bus stand... that is good observation
Ila ungezungumzia nayaliokuvutia sio umeishia kuponda tu