Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
- Thread starter
- #21
7? Na chipsi mayai/kuku hizi? Ngumu kuamini!
we huwa nakula vitu natural! Kwanza chemsho la sato, mtori wa ukweli,ugali wa mtama, nyama choma kidogo na konyagi! Uspime!
7? Na chipsi mayai/kuku hizi? Ngumu kuamini!
Kuliwa ndo huko, kwamba unashughulika na anakutoa kimtindo,it goes both way, wala usichukie na ukidume wako wa mbegu...mbegu zinapanga nyumba na kununua mali na chakula??
Sasa mbona unaandika kama demu ambaye anaomba kujulishwa nini cha kufanya kutokana na tatizo linalomkabili?
Anyway case yako ni simple, acha papara muandae vya kutosha huyo demu wako asiyeshiba mikwaju!!!!! Hakikisha hilo unalifanya kwa ukamilifu wake, atakuwa ameshaanza safari mapema na wewe ukija hata ukienda mara tatu anaweza kutoa msamaha kama wafungwa wafanyiwavyo tisa demember na siku ya muungano, kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeeh!
we jinsia gani?
PUMBAFU!
Mtakufa kwa UKIMWI.
Acheni uzinzi.
Jaribu dawa za kimasai zinasaidia sana mzee
asante! Ila ndo mchumba wangu ati!
Mwanaume mzima utatumikishwaje,mwanaumee au wa kiume!kwa hiyo we hata shughuli zozote hufanyi na unategemea mshiko wa mwanamke!shame!achaga uzoba!kajishughulishe!nilifikiri mwanamke ndo analalama hapa!golddigger
Ukahaba haina tofauti na ajira zingine kaka. Tunaofanya kazi za kuajiriwa tunaelewa hii, huwezi kumtumia sms boss wako nimechoka nalala. Tafuta mwajiri mwingine, ikiwezekana mwanaume ili mckichoka mchoke wote. La sivyo rudi nyumbani kwa wazazi wako.
Unaniharibia sabato yangu,aaaaggghhhrrr!
Tafuta jinsia nyingine banaa, wewe sio kidume. Kutafuta hela yako mwenyewe huwezi, na mchumba anaekutaftia akuletee kumridhisha huwezi!
we huwa nakula vitu natural! Kwanza chemsho la sato, mtori wa ukweli,ugali wa mtama, nyama choma kidogo na konyagi! Uspime!
duh,binadamu tusijisahau(kuendekeza dunia na kuacha misingi ya dini ), kuna kufa! kifo hakina mkataba, muda wowote, saa yoyote kinaweza kukupata!!!! je tumejiandaa vipi?
Tuacheni maovu, tumuabudu mungu!!
he! Kutokana na mauwezo yake huwa namuogopa uspime! Halafu huwa yuko bize na utafutaji akifika tu anavua anakuvagaa! Hata muda wa ku rom ni mfupi mno ila asante kwa ushauri ntafanya hivyo ila leo namtoroka kweli kabisa!
Usimuogope kwa sababu ameashakuwa mpenzi wako. Mshauri juu ya ufanyaji wa mapenzi usitumia nguvu sana lakini una maximamu satsafaction, akikuuliza ni upi huo mwaleze ni lazima tuandaane ili kila mtu mawazo na akili zake ziwe eneo la tukio.
Kitu kingine inaonekana hiyo mwanamke ni mkubwa kwako.
Nina mpenzi wangu ye ameajiria ofisi fulani na huwa kazi zinambana nafasi yake ni j'pili tu! Na huwa ananitumikisha kinoma akija. Weekend hii nimemwomba asije sijiskii vizuri! We ananiwakia ki ukweli! Nifanyeje? Halafu ndo ananitoa ki ukweli mshiko anao! Jamani nifanyeje?
unafikiri sigangamali wangu! Najitoa muhanga mpaka round 7,ila duh! Mwenzangu hachoki haraka!
Kwahiyo asingekuwa na hela usingekuwa teyari siyo? Kwahiyo kama uko after money kubali kuzalilishwa na kuchoshwa hivyo hivyo