arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
Mwenzetu, kazi ndogo kama hiyo ya raha inakushinda JKT utakuweza?
he mbona umenitisha! Niliwe tena! Mi kidume cha mbegu ebo! We Michelle vp!
Kuliwa ndo huko, kwamba unashughulika na anakutoa kimtindo,it goes both way, wala usichukie na ukidume wako wa mbegu...mbegu zinapanga nyumba na kununua mali na chakula??
Mwenzetu, kazi ndogo kama hiyo ya raha inakushinda JKT utakuweza?
Jaribu dawa za kimasai zinasaidia sana mzee
Kha we kidume unafugwa na mwanaume alafu unasubutu kuleta hapa Jf, badala akutaftie kazi na wewe uwajibike unategemea ukae akuletee tu, mwisho wake akikuacha utaishite au ndo utahamia kwenye yale mambo ya Kameroon. Labda nikushauri jambo moja ni bora mtu anaekutaftia au kukupa kazi kuliko yule anaekupa hela kwani hela ikiisha matatizo yanarudi palepale ila kazi itakusaidia kipato cha kila siku.
Aaa mkuu JKT mbona simpo tu! Kazi ya raha ila basi iwe kwa kiwango!
jamani mbona nimeshasema hata mi nakazi yangu! Simtegemei kiviile! Labda kwa kunitoa weekend kdg na vitu km ivyo! Msinifikirie vibaya nipe mbinu ya kumchosha mapema acha kukimbilia cameroun!
Kwamaana hiyo ww kiwango chako kidogo? kwani anataka kila siku au kila weekend? sasa usichokiweza hapo ni kipi? au unashindwa kutayarisha ndio mana anakushinda?
Haya wakuu nashkuru kwa ushauri wenu. Ntarudi badae. Nalog out!
Haya wakuu nashkuru kwa ushauri wenu. Ntarudi badae. Nalog out!
Nina mpenzi wangu ye ameajiria ofisi fulani na huwa kazi zinambana nafasi yake ni j'pili tu! Na huwa ananitumikisha kinoma akija. Weekend hii nimemwomba asije sijiskii vizuri! We ananiwakia ki ukweli! Nifanyeje? Halafu ndo ananitoa ki ukweli mshiko anao! Jamani nifanyeje?
Nina mpenzi wangu ye ameajiria ofisi fulani na huwa kazi zinambana nafasi yake ni j'pili tu! Na huwa ananitumikisha kinoma akija. Weekend hii nimemwomba asije sijiskii vizuri! We ananiwakia ki ukweli! Nifanyeje? Halafu ndo ananitoa ki ukweli mshiko anao! Jamani nifanyeje?
unafikiri sigangamali wangu! Najitoa muhanga mpaka round 7,ila duh! Mwenzangu hachoki haraka!
kwani nimebisha Lizzy! Tatizo mi nikifika round ya 4 ye ndo anashusha 1 sasa hapo mpaka mnaeoda saaana! Aagh! Mi nachokaga sana!