baba junior
Senior Member
- Sep 21, 2012
- 143
- 30
family back ground ichunguzwe.fikîria shule au shughul nyngne.hyo ni ngono c mapenz.u a stil young.
me mvulana wa miaka 18 nkiwa nafanya mapenzi huwa nawai kuchoka kiac cha kwamba nashinda kabisa kumaliza lile tendo sijui sababu ni nini maana natumiaga muda mwingi kwenye romance sasa sijui ndo inasababisha nachoka!
kweli huyu atakuwaa mkali wa punyetoVp we ni Mpenzi wa " Penzi binafsi "kama ndio upunguze au uache!!
Nanukuu...
Mimi nina tatizo moja ambalo linanisumbua sana! Ninapokuwa ninafanya mapenzi na mpenzi wangu waga tunaandaana vizuri tu mpaka yeye mwenyewe aniembie sasa unaweza kuingia!! Tatizo ni kwamba nikiingia tu na kuanza mara 1, 2, 3 hata kabla dakika moja haijamalizika 'ninafika mshindo' na kitu kinalala kabisa na kumuacha 'binti' akiwa hajafika popote!!
Wasiwasi wangu ni kuibiwa na manyang'au! Je nifanyaje ili niweze kumaliza naye pamoja? Au je nifanyaje angalau nami niwe nachelewa walau kiodogo hata kama ni dakika tano tu zinatosha!
Naombeni msaada wenu!