Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
me mvulana wa miaka 18 nkiwa nafanya mapenzi huwa nawai kuchoka kiac cha kwamba nashinda kabisa kumaliza lile tendo sijui sababu ni nini maana natumiaga muda mwingi kwenye romance sasa sijui ndo inasababisha nachoka!
Ningekufundisha, lakini utamsumbua sana house girl wenu
Huyu unaye fanya naye mabao haya ya wakubwa ana umri gani nae?
me mvulana wa miaka 18 nkiwa nafanya mapenzi huwa nawai kuchoka kiac cha kwamba nashinda kabisa kumaliza lile tendo sijui sababu ni nini maana natumiaga muda mwingi kwenye romance sasa sijui ndo inasababisha nachoka!
Ningekufundisha, lakini utamsumbua sana house girl wenu
COURTESY hajui hata anafanya nini kwanza so hata hiyo round ya kwanza inawezekana hamalizi kwa sababu ya harakamr rocky dogo atakuwa anashindwa kumaliza hata single round!!
Shule umemaliza lini na mapenzi umeanza lini
Yaani wewe ulitakiwa uwe darasani muda huu na unakuja JF kuzungumzia mapenzi
Kasome Kasome Kasome! Unachukua Combination gani?
mzima mkuu.......ametoroka kipindi jioni ana kidate.....kuchoka kupi dogo anazungumzia
mzima kabisa my dear Blaki Womani
dogo sijui anawaza nini badala awaze hata maisha yake yatakuwaje anawaza kuchoka kufanya sex na umri wa miaka 18
Na sijui anazungumzia kuchoka kupi may be mpaka kinanihiii chake kinalegea
we valence hivi lile zoezi nililotoa darasani ulimaliza?
na ile group work je?
UNAJIUMIZA!
FOCUS NA SHULE!unaona matokeo yake?
kama umeshajua kuwa unachoka haraka manake kuna kipindi ulikuwa huchoki?nakijaribu kuangalia umri ili niweze kuugawa nipate kipindi ulichokuwa huchoki MABHATA USHUNGU:A S embarassed:!
kuna kipindi itafika utashindwa hata kuchoka mwanangu!
hawa watoto wa siku hizi taabu tupu mapenzi changanya na masomo atafika kweli na kaumri kenyewe ndio kwanza hajajua hata kupenga kamasi......tena kanajisifia kanafanya romance muda mrefu daaaahh maombi na sala yanahitajika kwa watoto wetu