Shukran sana mkuu
Asante sana Mkuu
Mkuu Kioo na ngoma ya P FUNK FT JAY MOE N IMMAM ABBAS HORSE
Kuna baadhi ya wenzetu humu wamefanya kazi ngumu na nzuri mno juu ya kudondosha ngoma hapa sasa tusiwe wavivu wa kushindwa kusearch tu maana sasa mtu anaomba wimbo ambao tayari post za nyuma upo. Post ni nyingi sawa lakini ndiyo maana kuna option ya kusearch kwenye post husika. Ahsante
Kioo nakukumbusha wimbo wa remmy-tabu na wewe
mwanafa ungeniambia
Kama wimbo gani mkuu...?