Rage ni muwamba ngoma tu ivyo nilazima avutie kwake,ila kwenye maongezi yake sijaona mantiki yoyote,
mfano:-hapo chini{mwishoni} amesema kua mh.mnyika anapingaga ata" jamba ambalo mwananchi wa kawaida halimgusi sana".Je anaushaidi gani?
Nimjuavo mh.mnyika ni kiongozi makini na mwenye kutetea haki za wananchi tena kwa umakini na hayo yanaonekana wazi ubungo.
Hivyo Mh.rage ni lazima ajue tume ya uchaguzi ni kiungo nyeti na chenye impact kubwa kwa wananchi ,chombo hiko kinaposhikiliwa na viongozi dhaifu au wasio na sifa muhimu ni hatari kwani mwisho wa siku wananchi watatangaziwa matokeo ambayo si sahihi.
Mh.Rage asikurupuke akajipange sawa sawa!
acha upupu