Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
- Thread starter
- #61
Mkuu hiyo heading yako inakosa mshiko kidogo,maana kusema ni vita kati ya Rage na Mnyika sidhani kama uwezo wa Rage kiakili unaweza kufananisha na Mnyika....kwa kila kitu,michango bungeni,hotuba na kuwajenga watanzania kifikra,Rage yupo mbali sana huyu msomali....nadhani akashindane na watu wengine na sio Mnyika kwenye hoja....kama tunakubaliana kuwa ni vita,basi ni kama kusema vita kati ya Somalia na NATO halafu utegemee kuwa Somalia watashinda.........
Rejea mchango wangu kuhusiana na heading.
Nadhani ulijipambanua vya kutosha.naomba urejee page zilizopita.