Ni swali gani uliwahi kuulizwa kwenye interview likakuacha hoi?

Mi sijawahi kufanyiwa interview ila mimi ndo nawafanyia..

Swali na Umahili na Udhaifu huwasumbua waomba kazi wengi.
 
n
Atakua mhandisi wa TANROADS huyu. Bure kabisa. They don't check twice. Ubunifu zero. Sijui wakipita Ubungo roundabout wanajisikiaje. Kazi ni kuchukua rushwa toka kwa wachina tu ili tujengewe substandard roads. Bure kabisa
Ndugu, kama wapo wenye tabia mimi sifahamu!
Mainjinia pale TANROADS HQ ninaowafahamu ni waadilifu kweli kweli.
 
Kwanza tuanze mimi ni civil engineer. Nilifanya intervew kwa wahindi nikaulizwe ikiwa client anataka ujenge hivi, na consultant anataka ujenge vile. Kama wewe ni contractor utafanyaje? Nilijibu nisinyamaze tu lakini kwa ukweli ilo suali lilikua sio la kawaida kwangu
Kwani mchoro unasemaje? Hicho ndio cha kufuata ili mradi uwe checked and approved

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungewashauri utumbo wao kwa maana we ndo mtaalamu mwisho wa siku ningebase kwa client maana ye ndo muhitaji na mlipaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Client sio mtaalam japo ndio mlipaji. Yeye anatakiwa kupewa effects zitakazotokea kutokana na ubadilishaji wa ujenzi. Consultant ndio wa kumfuata kwakuwa hata mchoro utakuwa umepitiwa na yeye.
Lazima ujenge kutokana na designing iliyopo.
Ndivyo ninavyoelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiulizwa your general weakness jibu lake likoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimewahi kuulizwa mara 3 sehemu tofauti.
Nilichojibu ni kwamba kila mtu yupo strong kwa vile anavyojitambua yeye. Kwa mfano hata nyinyi hapo kila mtu anajiona yupo strong kila sehemu lakini kila mmoja ana weakness. Weakness ya mtu ni mpaka aambiwe na mtu na si kujitambua mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habari za muda huu...
Katika harakati zako aa kutafuta kazi ni swali gani uliwahi kuulizwa katika interview/usahili likakutoa jasho au ukawa unajibu huku unajua kabisa kama unajibu upuuzi?

Vipi ushakutana na wale ambao wanauliza maswali ya kukomoa hadi ukahisi kabisa lengo lao sio kukuajiri? Funguka hapa

Sent using My phone
Nilifanya interview moja ya Meneja wa Huduma kwa Wateja wa Shirika moja kubwa la Umma hapa nchini - kwenye Presentation yangu nikasema nitahakikisha "Customer's grievances and complaints" vinafanyiwa kazi kwa haraka na kwa weledi wa hali ya juu...

Swali la kwanza lililofata baada ya presentation yangu kutoka kwa Chairman wa Interview Panel ni "Explain to us the basic difference between Grievances and Complaints"

Hakika jasho lilinitoka maana niliona difference sikuijua na ibilisi alikuwa ananishawishi nijibu uongo...Aisee dah
 
kuna interview moja niliwahi kuulizwa na
"swali la kizushiii"" una mke,girfriend au mchumba "nikajibu sina "

yule interviewer akaniambia basi chagua kati yetu sisi madada ni nani aliyekuvutia nikabaki napigwa na butaa wakati nikiwa natafakari nikaambiwa haya nenda tutakujulishaaa

dah hiii dunia kuna watu wangesee kweli na wazinguaji
Na mpaka Leo hujajulishwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What are your weaknesses? Mm ili swali natetemaga kama mwizi kanipiga ngeta


'You can do anything but not everything'
Akikuuliza hili swali jibu something which sounds positive - for example waweza kusema :

"I think my greatest weakness is working for long hours to the extent that I do not take part in social activities - this leads people to think that I am anti-social, but no - I just like immersing myself in what I do and making sure I have no pending matters that will keep me awake at night"
 
Kuna siku jamaa aliulizwa alipwe sh ngapi akasema million, interviewer akasema tutakupa milioni 2. Jamaa akasema acheni masihara. Interviewers wakamwambia wewe ndo umeanza masihara...( ilikuwa pale kiwanda cha vioo chang'ombe)

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
KIOO Limited

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali gumu, but nimejifunza inabidi uwe na value yako before hawajakuuliza ujue utawatajia ngapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wajuvi wanashauri kuwa kabla ya kufanya interview ufanye utafiti Mdogo kufahamu watu wa nafasi unayoenda kufanya interview wanalipwa bei gani kwwnye kampuni unayoenda kufanya interview

Then figure utayoambiwa Ongeza kidogo ili isiwe mbali Sana Na wanacholipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza tuanze mimi ni civil engineer. Nilifanya intervew kwa wahindi nikaulizwe ikiwa client anataka ujenge hivi, na consultant anataka ujenge vile. Kama wewe ni contractor utafanyaje? Nilijibu nisinyamaze tu lakini kwa ukweli ilo suali lilikua sio la kawaida kwangu
Sisi watu wa Marketing tunasema "Customer satisfaction" first, mengine badae
 
Menikiulizwa ilo hujibu hivi
Kila kampuni ina scale zake za salary ambazo inawalipa waajiriwa wake kulingana na elimu zao. Nami niko tayari kulipwa kutokana na scale yangu iliyopangwa ndani ya hii kampuni
Mantiki ya swali hili ni kujua kama wewe ni mtu honest na straightforward - so siku nyingine ukiulizwa don't beat around the bush, taja figure halisi ambayo unajua utakuwa comfortable nayo, kuwa straightforward!
 
Back
Top Bottom