Ni moderators gani humu JF unaowapenda au kuwachukia???

Kumbe ni usiku tayari? acha nikalale niwapishe wakubwa...


Hakuna kitu Anti, mi nimestuka kuskia lolipop... kanikumbusha huu wimbo:



Hahahaha.....usijali Mwali, naona YM alitaka kunisahaulisha hayo mambo yake ya mavampire! Well......nite nite niece, ulale unono mpendwa wangu!
 
Last edited by a moderator:
Sasa unamchukia mod wakati wewe ndio umefanya kosa...!
Km umevunja sheria ukiadhibiwa unamchukia Mod sasa wakikuacha JF itakuwaje? Ijae matusi na uchafu?
Ukiwa mstaarabu hutakuwa na bifu nao na kwanza hata hutokumbuka km wapo coz hawatakuhusu.
Mi nawapenda watu wote
 
Sasa unamchukia mod wakati wewe ndio umefanya kosa...!
Km umevunja sheria ukiadhibiwa unamchukia Mod sasa wakikuacha JF itakuwaje? Ijae matusi na uchafu?
Ukiwa mstaarabu hutakuwa na bifu nao na kwanza hata hutokumbuka km wapo coz hawatakuhusu.
Mi nawapenda watu wote

brazaaa!...huna hangover kweli wewe Erickb52
 
Last edited by a moderator:
Mi nampenda ile kiukweli ukweli RR (sijui ameolewa?),,
Invisible, PAW, X-Paster, Buchanan, Kang na wengine wote, Salute...
Max pamoja na Waanzilishi wengine wa Jei Efu, One love...
Sina ninayemchukia...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom