pius mgaya PM
Member
- Jun 21, 2015
- 13
- 0
2015.. Che B biology B geo B BAM c
1.MD
2.PHARMACY
3.CLUNICAL OF
4BVM
1.MD
2.PHARMACY
3.CLUNICAL OF
4BVM
nenda tu uticha kaka...kwani ulikuwa ushachaguliwa so kuchaguliwa tena ni issue kaka..kapige buku udom
Deadline ni tarehe 02/08/2015.jiongeze mwenyewe sasa.
Me mwenyewe Yan nimejaribu Kutafuta hiyo tarehe Lakin cjajua... anayejua Jaman tar ambapo hizo post za vyuo vya afya zinatoka tunaomba atutajie
vyuo vinafunguliwa mwezi wa 9 nadhani watatoa mwezi wa 8
......Utapangiwa chuoVipi kuhusu waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano huku wameomba vyuo vya afya kupitia nacte, je watachaguliwa au wanaachwa kwa sababu wameshapangiwa shule?
Naomba msaada mtu akisoma certificate mfano clinical officer..akitaka soma diploma ataisoma muda gani akitokea certificate??
Shukrani Mr ustadhijuma.
Jaman mi naomba kuuliza hivi mtu anaweza kuwa na div 2 (merit). Akaomba diploma clncal ofsa akakosa??? Msaada jaman
hivi jaman naomba kuuliza post za vyuo vya afya zinatoka lini na mwaka wa masomo unaanza lini??