Cr wa familia
JF-Expert Member
- Jun 18, 2023
- 1,063
- 1,405
Habari ndugu zangu wana JF, natumai mnaendelea vizuri
Kama kichwa kinavyojielezea hivi ni kweli kwamba kwa sasa serikali inatoa mkopo kwa wanaosoma elimu ya vyuo vya kati (CERTIFICATES & DIPLOMA) kama inavyosemekana au ni maneno tu na kama wanatoa wanatoa kwa kila anaeomba au kuna baadhi ya course ndo zinapewa? Naombeni mnijuze wakuu kwa anaejua haya mambo yalivyo.
Naomba kuwasilisha
Kama kichwa kinavyojielezea hivi ni kweli kwamba kwa sasa serikali inatoa mkopo kwa wanaosoma elimu ya vyuo vya kati (CERTIFICATES & DIPLOMA) kama inavyosemekana au ni maneno tu na kama wanatoa wanatoa kwa kila anaeomba au kuna baadhi ya course ndo zinapewa? Naombeni mnijuze wakuu kwa anaejua haya mambo yalivyo.
Naomba kuwasilisha