Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

Status
Not open for further replies.
kuna jamaa mmoja alipangiwa st joseph na nacte alivyoona kampala INTERNATIONAL university basi akiri zikamrukaa. akahisi labda akisoma pale atasoma mtaala sawa na mwanafunzi anaesoma marekani kisa kaona INTERNATIONAL matokeo yake sa hv anajuta anasema bora hata angeenda zake st joseph but now kafanya tena application nacte kapangiwa lugalo medical college
 
unajua ustadhi kawaida ya watanzania huwa tuna penda kurahisisha v2.Ni kweli kile chuo kinafundisha mtaala wa kimataifa na mabaraza mfano baraza la pharmacy na madaktari wanakitambua kama chuo cha kimataifa na co chuo cha kitaifa sasa tatizo lililo wakumba wanafunzi wa pale ni hili hapa "kwa utaratibu wa mabaraza mbali mbali mfano baraza la madaktari na baraza la pharmacy unasema mtu yeyote alie soma nnje ya nchi ama alie soma chuo kinacho fundisha mtaala wa kimataifa atakapo maliza masomo yake ni lazima aende kwenye baraza husika ili waka verify cheti chake kwa kumpa mtihani na matokeo yatakapo toka ndipo atapewa cheti kingine ambacho kitakuwa ni cha hapa Tz na hiyo ni kulingana na alivyo faulu huo mtihani sasa kilichotokea wanafunzi wa kampala hawakufanya hivyo wenyewe mara baada ya kumaliza chuo 2 walikimbilia kutafuta kazi bila kufuata huo utaratibu wa kuhakiki hivyo vyeti vyao na huo utaratibu wa ku verify vyeti ni maalumu kwa watu walio soma course za afya tofauti na walio soma course za law;education nk cz hao wataweza pata ajira bila kufanya hivyo na ndo maana mna baki kushangaa TCU na NACTE wanakiruhusu kuendelea kufanya udahili" So mpaka hapo ustadhi na wengine mnadhani tatizo ni la nani? my brother ucpende kusema kitu kwa ushabiki penda kufuatiria kiundani; Ww una sema unakijua cz unaishi nacho karibu hiyo bado c sababu cz swahili wanasema "KUISHI KARIBU NA MAHAKAMA CO NDO KANAKWAMBA UNAJUA SHERIA ZOTE ZA NCHI"
 
kaka mfano udaktari hata ukiusomea INDIA laki ukija hapa kama uja verify cheti chako huwezi pata ajira cz hakuna atakae kutambua na ndo icho kilicho watokea hao!
 
hiki chuo mi nakifahamu mkuu tena mwaka jana nilichukua hadi form nilitaka nkasome diploma ya clinical officer kuna lecture mmoja wa pale akanitonya nikakambia spidi ya kicheche

Ingia nacte utaona kuwa chuo kimesajiliwa kwa kada ya afya me nimeona both cert&dipp ya C.O
 
Wakuu hebu tujuzana bei za hizi medical equipment me naanza wiki ijayo j3 tarehe 12/10/2015
ila nimejaribu kuuliza kwenye page moja ya duka la vifaa vya utabibu kenya wakaniambia iv..
>stethoscope(litmanns)=Ksh.6000/=
>Aneroid Pb machine=Ksh.1500/=
>patella hummer=Ksh.800/=
Je kwa hapa bongo itakuwaje?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom