Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,347
- 3,023
- Thread starter
- #41
Achana na huyo baba watoto hana mana yyt atakutesa roho yk na mwisho wa siku atakuambukiza virusi ktkn na ktkua mwaminifu, mlee "ANGEL" wako na MUNGU atakusaidia utapata rizk na maisha yataenda vizuri. na hy guluguja aliyemtelekeza malaika huyo atapata adhabu hapahapa duniani,MDOGO WANGU USIVUNJIKE MOYO.
[asante sana kwa kunipa moyo ndugu yangu.ni wachache wenye moyo wa upendo kama wako.
]