Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
dah pole mdada mzuri Mungu yupo atakusaidia nimeona umejoin jf soon tarehe 29 mwezi jana sijui ndo ulikuwa unataka ushauri au. Naomba nichukue fursa hii kukukaribisha humu ndani
thanx nimekaribia.dah pole mdada mzuri Mungu yupo atakusaidia nimeona umejoin jf soon tarehe 29 mwezi jana sijui ndo ulikuwa unataka ushauri au. Naomba n
ichukue fursa hii kukukaribisha humu ndani
mtoto ana mwezi tu
na ndo kinachonichanganya akili coz ctaki kumshirikisha mtoto kwenye matatizo yetu mm na baba yake.na vilevile ctaki kuacha kumweleza ukweli wa kilichotokea.mwaya pole sana kwa hayo yalio kutokea lakini kwanza itabidi uwe mwangalifu sana kwa wamuzi utakao uchukua . manake usije ukajiingiza mwenyewe kwenye makosa
...haya sasa, bibie, nilionalo mimi unahitaji ushauri nasaha tu kukabiliana na post traumatic stress
baada ya kujifungua. wewe sio mwanamke wa mwanzo kukumbwa na hali hiyo ya wasiwasi...
mshukuru mwenyezi mungu kwa kujaaliwa mtoto mzuri mwenye afya, nawe ukiwa mzima wa afya..
hakikisha kwa kipindi hiki unatulia, unakula vizuri, na mwanao anapata +ve vibes toka kwako...
unajipa presha bure tu bidada,...ukiiendekeza itakuletea depression...
piga moyo konde, na uyapokee yote yanayokujia sasa kama challenges na blessings...
sitaki na wala sitopenda kusikia ati nawe ni miongoni wa wale kina dada wanaowachukia watoto wao kwa
kisingizio wamewaletea matatizo duniani...
focus kwenye malezi ya mtoto kwanza miezi hii ya mwanzo nawe ule vizuri mtoto apate lishe bora,
mengineyo yatakaa sawa tu,...
usiwe na wasiwasi...huibiwi na acha kumlaumu mzazi mwenzio, ...huenda nae anakushangaa ulivyombadilikia
ghafla na hizi lawama....
kila la kheri.
na ndo kinachonichanganya akili coz ctaki kumshirikisha mtoto kwenye matatizo yetu mm na baba yake.na vilevile ctaki kuacha kumweleza ukweli wa kilichotokea.
asante kwa ushauri.ni mapema sana kufikiria kumweleza ukweli maana heri hata mtoto angekuwa na miaka 7 lakini mtoto hata maternity hujamaliza unawaza ya miaka 15 ijayo???
habari wana jf.
kwa muda wa takriban miaka 6 sasa.na nilikuwa naishi naye na.tuliishi kwa upendo na amani.nikapata ujauzito nikalea mimba nikiwa nae mpaka ikafika muda wa kwenda kujifungua nikasafiri kuja kwetu kaskazini kujifungua.
ckupendezwa nikamwambia basi aendelee na ustaarabu wake na mm nitalea mtoto peke yangu coz hata nikimtegemea ni kazi bure coz hakuna alichowahi kunisaidia.
KINACHONIUMA.
~nilimpenda kupita kiasi
~nilipoteza vitu vingi ikiwa ni pamoja na kuacha chuo ajili yake.
~niligombana na ndugu zangu coz of him.
~nw nimeishia njiani sijui nimtambulishe mwanangu kwa baba yake au niache.na sijui moyo wangu utawezaje hata kuniruhusu kuongea nae coz ninamchukia vibaya sana.
AND THATS Y NASEMA MTOTO WANGU AKIKUA LAZIMA NIMPE KISA CHA BABA YAKE.COZ AMENITENDA HASWA.
NAWASHAURI MABINTI KAMA NI KUPENDA IWE NI KWA KIASI ISIWE TOO MUCH THEN MUWE NA MIOYO YA UJASIRI.
Nikisikia visa kama hv akili inashindwa kufanyakazi yake ipasavyo. All in all pole dear
kuna mtu naplan kumfanyia kama ulivyofanyiwa wewe,make nishamwambia home hawamtaki yeye hatk kuamini,wait...
Sometimes matatizo mengine mnajitakia wenyewe!
Hivi unaweza kumpenda mtu kwa kiasi mhhh sijui labda mimi ndio mshamba