Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
kuna mtu naplan kumfanyia kama ulivyofanyiwa wewe,make nishamwambia home hawamtaki yeye hatk kuamini,wait...
Sometimes matatizo mengine mnajitakia wenyewe!
Si useme tu we ndio humtaki, eti hm hawamtaki, kwani wao ndio wanaishi nae? watu mnapenda sana kuumiza wenzenu ila tu ukumbuke hilo unalotaka kumfanyia mwenzio lazima siku moja litakurudi hata ipite miaka mingapi, we tamba tu sasa ila wakati wako waja