ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Ndio maana mimi huwa nasema siku zote ukitaka kufaidi penzi la mwanamke wa kitanzania nenda kaoe uchagani, hata kama hawajui kukata viuno ila mapenzi ya kuishi na mume wanayajua. uchagank ukishaolewa wewe sio wa kwa wazazi ni wa ukweni 100%.
Mi nadahni ulikosea, kama ungeenda kukaa kwa wakwe zako (wazazi wa mumeo) huyo bazazi wako asingethubutu kufanya huo ujinga kwani familia yake isingekubali hilo litokee wakati uko kwao. Waswahili bwana, mimba ameipata kwa mumewe, karaha ya kulea wanaenda kuipata ndugu wa mke.
Congrats wachaga, once you go to your husband, you belong to him and his family. Ndio maana wanajua kukaa na waume zao.
Mi nadahni ulikosea, kama ungeenda kukaa kwa wakwe zako (wazazi wa mumeo) huyo bazazi wako asingethubutu kufanya huo ujinga kwani familia yake isingekubali hilo litokee wakati uko kwao. Waswahili bwana, mimba ameipata kwa mumewe, karaha ya kulea wanaenda kuipata ndugu wa mke.
Congrats wachaga, once you go to your husband, you belong to him and his family. Ndio maana wanajua kukaa na waume zao.