Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,822
- 59,435
Wakati mwingine nasi twachangia wakati unamnyima mtu haki za kimsingi kwa madai ya kuwa leo nimechoka huku mwenzio akuhitaji.......au kuna jambo lile hakulifanya utakavyo sasa malipizi wakati wake ni huu..............ataipata...............mwishowe mwandani wako naye ameamua kujitutumua kwa kujitafutia uhuru bandia na hivyo kuishia kutafuta majibu mteremko hata kule ambako hakustahili...........
Ruta watu wanaonyimana kwa makusudi, wanaokomoana kwa kutowaelewa wenzao iwapo kuna sababu ya msingi kuomba mapumziko ndio hao waliojisalimisha. Usitegemee mtu aliyejisalimisha kwako ajali sana hisia zako.