Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Siamini usemi wa "dawa ya moto ni moto" hutumika kila mahali................mfano wandani wako kakuletea shombo na mambo yote yamegeuka bokoboko......utafanya malipizi ya dawa ya moto ni moto au utatafuta muarobaini mbadala wa kukomesha shombo mlangoni kwako.......................kama mbadala upi?
Niliokutana nao jana wadai...............mambo haya dawa ya moto ni moto...................nawe mletee shombo mlangoni ili ngoma iwe drooooooooooooooo......................
Niliokutana nao jana wadai...............mambo haya dawa ya moto ni moto...................nawe mletee shombo mlangoni ili ngoma iwe drooooooooooooooo......................