Cainan
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 445
- 493
PUSS 2 ni mshahara wa diploma ya medical laboratory technology au ?PUSS 2 basic ni 836,000/=, puss 4 basic ni 1,465,000/=, take home zake sifahamu
PUSS 2 ni mshahara wa diploma ya medical laboratory technology au ?PUSS 2 basic ni 836,000/=, puss 4 basic ni 1,465,000/=, take home zake sifahamu
Kampuni gani,kila la herinimeitwa oral,mniombee
Hongera, aendelee kukupa hii nafasinimeitwa oral,mniombee
Hapana, ni diploma za Engineerings. Wanaofanya kazi kwenye laboratory or workshop za vyuo vikuu.PUSS 2 ni mshahara wa diploma ya medical laboratory technology au ?
580,000Hivi mshahara wa TGS C ni shingapi
Sio kweli mkuu haifiki huko iko chini ya 520000 ila pia iko juu ya 510000...zamani ilikuwa 465000 baadae july hii wakaongeza kama 50000580,000
Sawa, ila Mimi nimeona kwenye SALARY SLIP ya rafiki yangu.....Sio kweli mkuu haifiki huko iko chini ya 520000 ila pia iko juu ya 510000...zamani ilikuwa 465000 baadae july hii wakaongeza kama 50000
Tgs c ni 580,000/= , kabla ya mwongeza za mama ilikuwa 525,000/=.Ahsante kwa majibu mazuri ipi kati ya 520,000 na 580,000
Tgs c ni 580,000/= , kabla ya mwongeza za mama ilikuwa 525,000/=.
Nisaidie hii PRSS 1 ni shingapi? Ipo kwenye salary scale ya TANZANIA WILDLIFE RESEARCH INSTITUTEkila taasisi ina scale zake mkuu, hakuna scale general kwa taasisi zote za umma.
mfano kuna scales kama TGS, PHTS, PUTS, PTSS, PGSS, PRSS na itakua tofauti kutegemea na taasisi husika.
mfano PRSS 3 = NIP 15, scale ya PRSS inatumiwa kwenye taasisi za umma kama NATIONAL INSTITUTE FOR PRODUCTIVITY (NIP), TAEC etc.
sasa kwa swali lako hii scale kwa mujibu wa tume ya ajira inatumiwa na TANROADS, ni entry level ya Civil Engineer grade II, ni kama 1.5M basic salary.
Watendaji wa serikali ya mtaa wanalipwa shilingi ngapi?Sio kweli mkuu haifiki huko iko chini ya 520000 ila pia iko juu ya 510000...zamani ilikuwa 465000 baadae july hii wakaongeza kama 50000
Nisaidie hii PRSS 1 ni shingapi? Ipo kwenye salary scale ya TANZANIA WILDLIFE RESEARCH INST
Watendaji wa serikali ya mtaa wanalipwa shilingi ngapi?
Tgs B ni kama inachezea kuanzia 420,000/= hadi 470,000/=Watendaji wa serikali ya mtaa wanalipwa shilingi ngapi?
Wale wa kata je?Tgs B ni kama inachezea kuanzia 420,000/= hadi 470,000/=