hawataki msj chungu wanataka msg tam tuEhe! Imekuaje tena?
Kiukweli toka moyoni hapana! Viatu vimepwayaSpika.
Ikitokea ni Spika hawezi kumudu kazi zake kwa sababu ya maradhi ya mwili au ya akili, then Ibara ya 84(7)(d) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 itatumika, baada ya utaratibu wa kidakitari kuthibitisha afya ya akili ya Spika, then Kanuni ya 134, Fasili ya 1, 2, 3, 4, 5 na 6 za Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la 2007 zinaelezea namna ya kumwondoa madarakani Spika wa Bunge. Mwana jf mwenzetu, Wakili Msomi, anatufafanulia zaidi
https://www.jamiiforums.com/threads...-tanzania-anaondolewa-hivi-madarakani.399756/
mtaumia sana
mmeichoknoaweeeeee ili wasikomenti kitu
Vichuguu?? Apolojaize!! Kichuguu ni mimi tu, na vijukuu ni familia yangu!Ati nasikia ya kwamba hana vidole vya miguu!? Hii inaweza kuongeza tatizo? Au ni mfumo wa kulala kwenye vichuguu umemuathiri! Demiss
Sent using Jamii Forums mobile app
Vichuguu?? Apolojaize!! Kichuguu ni mimi tu, na vijukuu ni familia yangu!
Ni Mhere Mwita.
Hafai kabisa. Arudi India wakarekebishe nuts and bolts!Sijawahi kuona spika anachukiwa hivi?. Zamani spika alikuwa kama Jaji mkuu anaheshimika lakini kwa sababu za siasa huyu spika amekuwa anachukiwa sana na wananchi. Lakini kama hamjashtuka msaidizi wake kwenye mambo yakuchukiza anajificha hivyo inawezekana hao hao ambao anataka kuwafurahisha ndiyo wanataka asipendae. Chaguo la Magu sio yeye bali ni naibu wake na wanasubiri wapate nafasi kumtoa au bunge lijalo wamwambie astaafu.