Ndoa zetu na umiliki wa mali...kizungumkuti kingine!!

...jamaa yangu alianza kujenga kwenye kiwanja cha mkewe kwa makubaliano jengo litakuwa kwa faida ya watoto.

Siku ya siku, mke kacharuka 'hakutaka kusikia la muadhini wala mnadi sala!' kaamua kukiuza kiwanja!
Mume alipomuuliza vipi kuhusu jengo ambalo tayari walishapandisha kozi tosha za ukuta...mke akajibu
"kama unataka ondoa matofali yako!"

Haya mambo (ya mgawanyo wa mali) hata mkiyafanya kwa makubaliano ya faida ya watoto hapo baadae, pia yanategemeana na akili timamu za wazazi, la sivyo ni kujitafutia upungufu wa siku za kuishi hapa duniani.
 
...jamaa yangu alianza kujenga kwenye kiwanja cha mkewe kwa makubaliano jengo litakuwa kwa faida ya watoto.

Siku ya siku, mke kacharuka 'hakutaka kusikia la muadhini wala mnadi sala!' kaamua kukiuza kiwanja!
Mume alipomuuliza vipi kuhusu jengo ambalo tayari walishapandisha kozi tosha za ukuta...mke akajibu
"kama unataka ondoa matofali yako!"

Haya mambo (ya mgawanyo wa mali) hata mkiyafanya kwa makubaliano ya faida ya watoto hapo baadae, pia yanategemeana na akili timamu za wazazi, la sivyo ni kujitafutia upungufu wa siku za kuishi hapa duniani.

Wote walikuwa wajinga na labda hawakujua kuwa tayari uhusiano wao una mashaka!

Hakuna mali binafsi ya 100% kwenye ndoa. Kwa hiyo hicho kiwanja na hata hilo boma halikwa la mke wala mume bali lao wote. Huyo mwanamke alikuwa hajui analolifanya...ni ubabe usio na maana!
 
Wote walikuwa wajinga na labda hawakujua kuwa tayari uhusiano wao una mashaka!

Hakuna mali binafsi ya 100% kwenye ndoa. Kwa hiyo hicho kiwanja na hata hilo boma halikwa la mke wala mume bali lao wote. Huyo mwanamke alikuwa hajui analolifanya...ni ubabe usio na maana!

...mnh, ujinga wa mume ni upi hapo Mkuu?
 
mimi sina mchango nimeamua kuwa kapera milele japo nina watoto na wanawake tofaouti,ni shunghuli nzito lakini nitafika tuuu
 
ninao mchango kidogo kuhusiana na kibandiko hiki,
1. wosia ni hati ya maandishi ambayo mtu anaandika akiwa na akili timamu, bila kushurutishwa na mtu yeyote kuanisha ni jinsi gani angependa malii zake zigawanywe pindi atakapofariki.
2. wosia ni siri kwa maana kwamba wale ambao watanufaika na mali zao ndani ya huo wosia hawapaswi kujua
3. wosia lazima usainiwe na mashahidi wasiopungua wawili
4. mali zipi zijumuishwe kwenye wosia---hilo linatagemea na muandika wosia ni kitu gani kwake anakidhamini na angependa kigawanywe/apewe mtu mwingine atakapofariki,lakini mara nyingi watu huanisha mali kama, nyumba, viwanja, pesa kwenye account mbalimbali, share kwenye makampuni, magari, vito vya thamani,na vinginevyo. NB: kama unadhani ni vyema ukasema friji na makabati ya nyumbani kwako nani apewe si mbaya ikiwa unahisi hivyo vitu vinaweza kuleta utata katika familia yako pindi utakaofariki..lol
5. kwa mujibu wa sheria ya ndoa (LMA 1971) kifungu cha 56 kinaruhusu mwanamke aliyeolewa kumiliki mali, kuingia kwenye mkataba,kushtaki au kustakiwa kwa jina lake!
6. pia kifungu cha 58 cha sheria tajwa hapo juu kinasema kuwa kama hakuna makubalino yeyote katika ya mume na mke basi mume au mke haruhusiwi kumkataza mwenzie kununua,kumiliki au kuuza/kugawa mali anayomiliki kwa jina lake au kumtaka mwenzie abadilishe umiliki wa mali alizonazo kwa kigezo cha ndoa, lakini mume au mke hawezi kuuza au kijimilikisha nk kwa nyumba wanayoishi pamoja katika kipindi chao cha ndo bila ridhaa ya mwezie
7.pia kifungu cha 60 cha LMA sheria ya ndoa kinasema kuwa katika kipindi cha ndoa mume au mke akimiliki mali kwa jina lake basi mali hiyo itachukuliwa kuwa mwenye jina ndie mmiliki wa mali hiyo unless ushahidi kuthibitisha mali hiyo inamilikwa na mke na mume utakopotolewa kwa mfano mke anamiliki gari kwa jina lake lakini pesa ya kununua hiyo gari ni mume ndio aliyetoa basi mume anatakiwa kuthibitisha kuwa yeye ndio alimpa mke hizo pesa eg, bank statements nk....
8. kwa kifupi sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inaruhusu mke na mume kuwa na mali either jointly or as individual
9.mali ambayo mke na mume hawana haki kudeal nayo bila ya ridhaa ya mwingine ni matrimonial home na mali ambazo wamezipata katika kipindi cha ndoa na zinaonyesha kuwa both mume na mke wanamiliki kwa pamoja!

NAOMBA KUWASILISHA N I STAND TO BE CORRECTED
 
Tha is exactly what I mean. Kuwa na joint account mnakuwa na kadi mbili. Kuwa na joint account hakukufanyi ukose uhuru wa kutumia pesa hata kusaidia ndugu if needed. Mfano mumeo amepata ajali kafa na ana 10 million bank, kama una joint account you can easily access the money. But if it is not joint ndugu utasubili a decade mpaka mirathi isomwe.

Na mimi huwa nashangaa. Nina ndugu zangu nao wanapinga joint account. lakini maisha wanayoishi hayana tofauti na yangu kwani wanashare matumizi almost 50%. Utasikia mimi nanunua chakula ndani, yeye analipa school fees. Utasikia sina ela si unajua tunajenga. So what's the difference of having two separate accounts and joint account if you still do joint purchases and expenditures.

Kama mambo yataenda ndivyo sivyo siku za usoni, si mnaseparate accounts? Kwanza ukiangalia sana most of us hiyo balance tulonayo siyo kubwa kiivyo mpaka uogope kushare. Mishahara yenyewe ya kibongo bongo ukisave sana 1 m ndo ikutoe roho.
Nyamayao na wengine,

Naomba kuweka sawa kwamba joint account si ya mume. Ni ya mke na mume wote kwa pamoja. Mnaweza kuwa na cards mbili na mtu akawa na uwezo wa kuchukua pesa kwa wakati wake. Ila kwa walio wengi card anakaa nayo baba lakini kila akitoa pesa lazima amueleze mkewe. Binafsi siupendi utaratibu huu. Sisi kila mtu ana account zake lakini tunajua password na tunaweza kuchukuliana pesa. Ila nikitoa au yeye akitoa pesa si lazima kupeana maelezo. We are independent and yet dependent entities!
 
Mzee DC shikamoo
kwanza samahani kwa usumbufu mwingi
na pili nashukuru sana kwa nimejifunza mawili
matatu kuhusu ndoa kwenye ile thread..

Nway hapa nichotaka
kusemawatu wengi wenye mali nyingi
huwa wanachukua prenatu agreement..
hii huwa inasaidia kwa chochote kitakachotokea kwenye ndoa..

AD kakwambia nani kwamba bongo kuna pre nuptial? demu wa uswazi ukimwambia mambo ya prenuptial ni sawa na kumwambia mnaoana lakini ndoa hii haitadumu,akubali wapi? atakwambie babu we kafie mbele!
 
Tha is exactly what I mean. Kuwa na joint account mnakuwa na kadi mbili. Kuwa na joint account hakukufanyi ukose uhuru wa kutumia pesa hata kusaidia ndugu if needed. Mfano mumeo amepata ajali kafa na ana 10 million bank, kama una joint account you can easily access the money. But if it is not joint ndugu utasubili a decade mpaka mirathi isomwe.

Na mimi huwa nashangaa. Nina ndugu zangu nao wanapinga joint account. lakini maisha wanayoishi hayana tofauti na yangu kwani wanashare matumizi almost 50%. Utasikia mimi nanunua chakula ndani, yeye analipa school fees. Utasikia sina ela si unajua tunajenga. So what's the difference of having two separate accounts and joint account if you still do joint purchases and expenditures.

Kama mambo yataenda ndivyo sivyo siku za usoni, si mnaseparate accounts? Kwanza ukiangalia sana most of us hiyo balance tulonayo siyo kubwa kiivyo mpaka uogope kushare. Mishahara yenyewe ya kibongo bongo ukisave sana 1 m ndo ikutoe roho.
Mwenzangu mimi hata pichu nanunuliwa lol... manyumba yametofautiana, labda nipite madukani ninunue vitu vya nyumbani tena vidogovidogo na vishoping vya watoto,na yeye zawadi za hapa na pale, joint ipo ila inajazwa na mtu mmoja hivi kumbe mimi nina tabia mbaya sana. Big up nyumba kubwa.wanawake wengine kama mimi kwa kweli tunahitaji kubadilika ila sijui naanzia wapi.
 
Nyamayao na wengine,

Naomba kuweka sawa kwamba joint account si ya mume. Ni ya mke na mume wote kwa pamoja. Mnaweza kuwa na cards mbili na mtu akawa na uwezo wa kuchukua pesa kwa wakati wake. Ila kwa walio wengi card anakaa nayo baba lakini kila akitoa pesa lazima amueleze mkewe. Binafsi siupendi utaratibu huu. Sisi kila mtu ana account zake lakini tunajua password na tunaweza kuchukuliana pesa. Ila nikitoa au yeye akitoa pesa si lazima kupeana maelezo. We are independent and yet dependent entities!

una hakika gani kwamba wababa wengine wakitoa lazima wawajulishe wake zao? jisemee kwa nafc yako hapo kaka, halafu utoe pesa kwenye acc yangu bila kunipa maelezo? ote mbee maelezo muhimu, mie na mr nadhani tumepeanaga password za acc zile zenye pesa chache...hahahaha ...lol....wacha maisha yasonge bwana haya mambo ya kuaminiana 100% cyaamini mie.
 
Wote walikuwa wajinga na labda hawakujua kuwa tayari uhusiano wao una mashaka!

Hakuna mali binafsi ya 100% kwenye ndoa. Kwa hiyo hicho kiwanja na hata hilo boma halikwa la mke wala mume bali lao wote. Huyo mwanamke alikuwa hajui analolifanya...ni ubabe usio na maana!

hivi hata kiamba changu cha urithi ni che2 sote?
 
Tha is exactly what I mean. Kuwa na joint account mnakuwa na kadi mbili. Kuwa na joint account hakukufanyi ukose uhuru wa kutumia pesa hata kusaidia ndugu if needed. Mfano mumeo amepata ajali kafa na ana 10 million bank, kama una joint account you can easily access the money. But if it is not joint ndugu utasubili a decade mpaka mirathi isomwe.

Na mimi huwa nashangaa. Nina ndugu zangu nao wanapinga joint account. lakini maisha wanayoishi hayana tofauti na yangu kwani wanashare matumizi almost 50%. Utasikia mimi nanunua chakula ndani, yeye analipa school fees. Utasikia sina ela si unajua tunajenga. So what's the difference of having two separate accounts and joint account if you still do joint purchases and expenditures.

Kama mambo yataenda ndivyo sivyo siku za usoni, si mnaseparate accounts? Kwanza ukiangalia sana most of us hiyo balance tulonayo siyo kubwa kiivyo mpaka uogope kushare. Mishahara yenyewe ya kibongo bongo ukisave sana 1 m ndo ikutoe roho.


nyie bwana shukuruni mpo kwenye ndoa za kihivyo, wengine hatuwezi hizo joiny acc za sababu zetu binafc kibao, kwani mil 1 niliyoitolea jasho ni ndogo ndugu yangu? hayo maisha ya ndugu zako ndio wengi tunayaishi, cjui kutoa hela ya matumizi ndani, kusaidia kujenga pale panapobidi etc but hayo ya joint yana wenyewe, nina mifano kibao ya wanaume wanaowatenda wake zao, mkubwa ni wa frnd wangu yeye hakuwa na hiyo joint bali hubby alikuwa najua password cku ya cku mama kasafiri kibiznec baba kachota kaenda kumnunulia hawara kiwanja, mama anarudi safari acc inamzomea, nani anataka kuaibika mjini? na mcdhani kwamba kwa kufanya hivyo bac ndio upendo haupo ndani upo sana but kwenye masuala fulani fulani mtu ubakie kivyako tu tutasubirigi mpaka hiyo mirathi itakapokuja kuwekwa wazi tutaendelea kubangaiza na visenti tulivyonavyo......
 
Mama bado unasherehekea muungano tym to slp ,gnite

dearest...c ndio ndoa hizi tunazozitaka, nimeombwa nimpe tafu aangalie game cjui barcelona v/s realm bac ndio nipo hapa nashangaa shangaa tu...kidali po dearest.
 
Dark City;1904123]Ndugu yangu...bado naamini ndoa inahitaji makubaliano hata kama ni yale ambayo mnakubaliana kutokubaliana. Kukaa kimya ni hatari sana na pia kumzunguka mwenzio na kujitengenezea jinai moyoni. Nashauri watu wachukue hatua za kisheria katika mambo kama hiyo ili kupunguza risk za heart attack.

Mke au mume ambaye ni unrealistic katika matumizi (kama huyo anayejipamba dhahabu na kuishi nyumba ya kupanga) anatakiwa kuchukuliwa kama wagonjwa wengine na kudeal naye kwa mujibu wa sheria. Am I being too harsh???

Napendekeza tuwe na entrepreneurship marriage with everything on the papers na especially kama wanandoa wote wana uwezo wa kumiliki tangible assets. Hili haliwezekani?


Mkuu wewe umeshayafanyia kazi haya unayosema hapa au ni nadhalia tu? Tatizo litaonekana kuwa mtu yupo kimaslahi zaidi kama akipropose hii mada kwa mwenzi wake. Inaweza kuleta doa kwa mwenzi wako kama mada usipo-ipresent kwa umakini mezani. Ni muhimu lakini je itachukuliwaje na mwenzi wako?

 
Halafu kitu kingine DC hatuna hulka ya kuandika wosia mapema tunasubiri pale tunapokaribia kufa au pale ambapo tupo mahatuti pengine unakuta unawaandikia wosia wakiisiajua watakusumbua uwaagawie mapema pia unaweza kukuta ndugu nao wako interested na mali zako

Kuandika wosia ni muhimu sana na hakuna haja ya kusubiri mpaka mtu uwe mahututi ndiyo uanze kufikiria kuandika wosia. Unaweza kufanya hivyo mapema kabisa tena bado una afya zako. Hatuna mkataba na Mwenyezi Mungu binadamu unaweza kuanguka tu ukafariki na hali waliokuona dakika chache tu walikuona ukiwa na afya njema kabisa. Pia kuna ajali za aina mbali mbali, kwa nchi yetu hizi za barabarani zinawamaliza Watanzania wengi sana. Hivyo ni muhimu sana kuwa na wosia hata kama mali uliyonayo huioni kubwa.
 
Dark City;Asante Michelle kwa mchango wako. Sina hakika lakini nadhani sheria ya ndoa haiwatambui watoto kama warithi wa mali ya ndoa endapo hakuna wosia. Kwa hiyo kuandika majina ya watoto siyo suluhisho. Bado napendekeza kwanza tujitahidi kuelewa nini kinahusika kama mali za ndoa kwa mujibu wa sheria. Pili tujadiliane na wenzetu. Hakuna njia ya mkato!

Pia nawaonea huruma wanaume wanaojidai kuficha. Endapo Mke akitoa ushahidi kuwa hizo mali zilipatikana kwenye ndoa hata kama ziko sayari nyingine zitapigwa panga 50% by 50%. Kwa hiyo wanawake wajitahidi kufuatialia na kupata nyalaka za mali ambazo waume zao wanajidai kuficha. Hiyo ndiyo dawa yao watu wa namna hiyo!!.



Siyo kwa wanaume wenye kuficha mali zao, hata wanawake wanafanya mambo kama hayo. Tatizo hizo documents za mali zilizofichika utazipata wapi? Mtu akiamua kuficha hata hizo docs kuzipata ni kazi zaidi tu ya kusikia kwa watu
 
bado hujauona? angesoma alama za nyakati hiyo pesa wangenunulia kiwanja chao kipya cha kuanzia maisha yao ya ndoa....

Mnh, Nyamayao...kuna kitu sijakielewa hapa.
'Mfano;' Mumeo mtapokubaliana ajenge nyumba kwenye kiwanja chako kwa ajili wa watoto wenu, ni ujinga?
Ni alama gani za wakati anapaswa kuzisoma kwenye hili? ...DC msaada please. Sijawaelewa hapa.
 
Back
Top Bottom