Ndoa zetu na umiliki wa mali...kizungumkuti kingine!!

Na mvua hii lazima ujisikie tu lol![/QUO

kwa upande wangu HALI YA HEWA haihusiki kabisa na kujisikia kwangu.

Naomba usinihoji zaidi ksb nimeishiwa maelezo......lol.
manake unadadisi kama mtoto wa miaka 5...lol
 
Hata ungekuwa wazi vipi, kisheria wosia hautakiwi kuonekana kwa beneficiaries wote (sina hakika kama nimekosea ila kuna kitu kama hicho kwenye sheria), kwa hiyo haiwezekana mimi kumuonesha wosia. Ila contents zote nilishamwambia verbally.

Halafu mimi siwezi kuandika wosia wake...Yeye ndiye anayetakiwa kuandikia wosia unaohusu mali zake (ambazo ni 50% ya meli zetu za ndoa). Naongea naye sana kuhusu umuhimu wa kuandika wosia na siwezi kufanya zaidi ya hapo kwani nitaonekana kama nataka kujua contents zake!

nakubaliana na wewe katika hili...
 
DC - Babu mbona haya mambo ya mali yanachosha sana!
Kha mie naona kama mna watoto bora tu mali yote ipelekwe huko ,maaana naona tunaumiza sana vichwa
 
Pia ndugu wanachangia wakijua msichana au mwanaume ndo mwenye kipato kikubwa siku akifa hawataki kujua walichumaje lazima watazichukua tu. ndo maana wanaume wengi huwa wanawajenge watoto na mama nyumba na miradi ya siri bila ndugu kujua
 
Sidhani kama kuna shida kuanisha mali zenu na kuweka makubaliano fulani kuhusu umuilki na hatima za hizi mali na ndio maana walio wengi hupenda kuweka majina ya watoto kwa umuliki wa mali ili kuondoa migongano na mitafaraku, kuacha kuzungumzia mali ni kuonyesha jinsi hgani hiyo familia isivyo na upendo wala uwazi na inathibitisha ubinafsi uliokithiri baina ya wana ndoa wenyewe
 
Eeeeh,DC at last nimekuelewa sasa. Nitamshauri baba nanihii aandike wake na mie niandike wangu. Pole kwa kazi nzito,manake nlipomaliza shule walimu walinipa zawadi,sio kwa kufaulu bali kwa kushukur natoka mikononi mwao manake duh! Hiyo 50% ndo ilinichenga.sasa mwendo mdundo,ngoja tujenge taifa la ndoa.Nyamayao nae nadhani kakupata sasa
:smile-big:
Hata ungekuwa wazi vipi, kisheria wosia hautakiwi kuonekana kwa beneficiaries wote (sina hakika kama nimekosea ila kuna kitu kama hicho kwenye sheria), kwa hiyo haiwezekana mimi kumuonesha wosia. Ila contents zote nilishamwambia verbally.

Halafu mimi siwezi kuandika wosia wake...Yeye ndiye anayetakiwa kuandikia wosia unaohusu mali zake (ambazo ni 50% ya meli zetu za ndoa). Naongea naye sana kuhusu umuhimu wa kuandika wosia na siwezi kufanya zaidi ya hapo kwani nitaonekana kama nataka kujua contents zake!
 
DA,tena weeh ndo ungeandika kabisaa mirathi manake ukikata kamba tu watatoana roho kugombea:welcome: hicho kilemba chako!

Ha ha ha ha mchokozi wewe........................bwana leo mie sina maneno yakuandika sitaki uchokozi
 
Yaaani hii kitu ni muhimu sana halafu ukimkumbusha mtu anaona kama unataka afe hivi! kwa kweli ni muhimu sana watu wengi tunalisahau hili na kuishi maisha ya leoleo tunasahau kesho itakuwaje.
 
Yaaani hii kitu ni muhimu sana halafu ukimkumbusha mtu anaona kama unataka afe hivi! kwa kweli ni muhimu sana watu wengi tunalisahau hili na kuishi maisha ya leoleo tunasahau kesho itakuwaje.

kuna kaka mmoja nimekaa naye jirani hapa,
anasema yupo tayari kushauriwa kuandika wosia na mtu yoyote yule,lakin
siyo mwanamke wa kimachame, hata sijui kwanini anasema hivi ikiwa na yeye,
ni mmachame...lol.
 
Babu DC kusema ukweli this thread ..........BIG UP.

Ni kitu kigumu sana kusema ukweli jkiasi kwamba ukijaribu kuchunguza ni kwa nini tunajikuta tunapata mixed feelings!! Ninachoweza kujibu ni kuwa ninachanganyikiwa sana ninaposikia mtu ana mali ya kificho ingawaje ninawezaelewa kama atadhihirisha tu kuwa anamficha spouse kwa sababu hataki spause ajue kwa sababu zake binafsi (Binadamu in nature tu waselfish: hata mtu akikwambia anakupenda na kukuoa/olewa nawe bado ile chembe ya individualism huwa ipo) But nisichokielewa ni kule kuinyima haki familia yako kwa maana ya wanao (Unapoficha mali spouse wako asijue ina maana hata wanao hawatajua - si watamwambia mama yao?)

2. inapofikia hatua ya mtu kufanya haya mie huwa ninasema ni kutokuwa na uhakika wa kuwa na uliye naye kwa sababu zako binafsi. Either unaamini kuwa one of the days unawezaachika au hamtokuwa pamoja tena so its kind of kujihami na huo utengano (maana mara nyingi utengano huambatana na uadui na kukomoana)

3. mahusiano na ndugu wa pande za wenzi wetu...umeolewa/oa halafu unaona kabisa ndugu wa mwenzi wako hampatani kwa sababu yoyote ile ni wazi kuwa utasita kuweka mayai yako yote kwenye kikapu kimoja kwani kikianguka yatapasuka yote. Unawaza what will happen kama mtetezi wangu (spouse) ambaye ndie kiunganishi na hawa ndugu akitoweka.

4. Suala la kuandika wosia nadhani pia linachangiwa na mila na desturi potofu za kuwa unajichuria.................
 
Ninachoelewa tatizo kubwa liko upande wawanaume kutokana na imani na matendo ya watu waliotutangulia.
Hapa wababa wa familia nyingi huamini kuwa wakiandika wosia mapema mke/watoto huweza kupanaga kumuua ili wawe na uhuru wakufuja zile mali wanavyotaka jambo ambalo mi nalitazama kma nadharia tu kwani wanafamilia wakitambua mali za baba zao na kuelezwa umuhimu wakuzitunza wataelewa uthamani na utumizi sahihi unavyotakiwa. Suala la kuja kumrithisha mtu baada yakufariki humfanya mtu awe limbukeni maana hatokuwa na ujuzi wakuzisimamia kama baba yake mwisho anashindwa kuziendesha nakuzichimbia kaburi maana hajui jasho lake wala mbinu na anahisi kafika hajazizoe. So Parents wa leo na kesho tubadilike tuwe open.
Mfano mzuri ni Kwa J.k nyerere alikuwa akizilinda rasilimali zetu hasa madini akisubiri wanae tukue kiujuzi na kimaarifa matokeo yake kafariki urithi umeporwa na ndugu zake na kuwazawadia wageni hii ni kwasababu hakutaka kuwaingiza ndani mzunguko wa kujenga ujuzi taratibu hukuwakiwa ndani ya mchezo.
 
Nyamayao na wengine,

Naomba kuweka sawa kwamba joint account si ya mume. Ni ya mke na mume wote kwa pamoja. Mnaweza kuwa na cards mbili na mtu akawa na uwezo wa kuchukua pesa kwa wakati wake. Ila kwa walio wengi card anakaa nayo baba lakini kila akitoa pesa lazima amueleze mkewe. Binafsi siupendi utaratibu huu. Sisi kila mtu ana account zake lakini tunajua password na tunaweza kuchukuliana pesa. Ila nikitoa au yeye akitoa pesa si lazima kupeana maelezo. We are independent and yet dependent entities!
 
Sidhani kama kuna shida kuanisha mali zenu na kuweka makubaliano fulani kuhusu umuilki na hatima za hizi mali na ndio maana walio wengi hupenda kuweka majina ya watoto kwa umuliki wa mali ili kuondoa migongano na mitafaraku, kuacha kuzungumzia mali ni kuonyesha jinsi hgani hiyo familia isivyo na upendo wala uwazi na inathibitisha ubinafsi uliokithiri baina ya wana ndoa wenyewe


Very true!! I wish people could see your point and work on it!!
 
DC - Babu mbona haya mambo ya mali yanachosha sana!
Kha mie naona kama mna watoto bora tu mali yote ipelekwe huko ,maaana naona tunaumiza sana vichwa

FL1, kutoyazumngumza na kuyafanyia kazi ni kuahirisha matatizo.

Kwa nini vichwa visiume leo ili tuwe poa kesho?
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom