Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
- Thread starter
- #141
Dark City;1904123]Ndugu yangu...bado naamini ndoa inahitaji makubaliano hata kama ni yale ambayo mnakubaliana kutokubaliana. Kukaa kimya ni hatari sana na pia kumzunguka mwenzio na kujitengenezea jinai moyoni. Nashauri watu wachukue hatua za kisheria katika mambo kama hiyo ili kupunguza risk za heart attack.
Mke au mume ambaye ni unrealistic katika matumizi (kama huyo anayejipamba dhahabu na kuishi nyumba ya kupanga) anatakiwa kuchukuliwa kama wagonjwa wengine na kudeal naye kwa mujibu wa sheria. Am I being too harsh???
Napendekeza tuwe na entrepreneurship marriage with everything on the papers na especially kama wanandoa wote wana uwezo wa kumiliki tangible assets. Hili haliwezekani?
Mkuu wewe umeshayafanyia kazi haya unayosema hapa au ni nadhalia tu? Tatizo litaonekana kuwa mtu yupo kimaslahi zaidi kama akipropose hii mada kwa mwenzi wake. Inaweza kuleta doa kwa mwenzi wako kama mada usipo-ipresent kwa umakini mezani. Ni muhimu lakini je itachukuliwaje na mwenzi wako?
Mengi ninayoyasema nayaishi. Ukihitaji ushahidi tuwasiliane.