Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,839
Yaani nyie wawili mnanifurahisha sana I just wish kungekuwia na uwezekano wa kufanya Husbunds ' Swap.....then mkirudi makwenu wake zenu wawajulishe maisha wanayoishi wanaume wenzenu wengine ..............
Babu DC.....inakuwaje pale ambapo upuuzi huo unafanywa na mwanaume....wote mwafanya kazi ila anataka uaccount every single cent of your salary tena kwa nguvu huku wa kwakek hataki kuaccount?? ........tena anakuachia majukumu yote ya ndani uyatimize wewe simply becouse anaishi kwkenye nyumba ambayo inahesabika ni ya kwako kwa kuwa umepangishiwa na ofisi?? and then hapo hapo kwenye kuaccount anakupiga tumizinga twa kati kati ya mwezi twa mafuta na vocha..............huyu unamweka wapi??
khee?! huyo naye vipi tena?