Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,810
- 59,359
Nimempenda huyo dada....Kuna sababu gani ya kuhangaika wakati kuna mtu ambaye amekueleza kuwa anakupenda na kukuonesha upendo kwa vitendo. Actually, hata kwa kutumia common senses, huwezi kuacha kumpenda mtu wa namna hiyo!!
Ngoja kwanza niishie hapa kwani Lizzy keshaanza kunichokonoa!!
Hahahaha, babu mbona mimi nimetulia tu?
Honestly, mahusiano ambayo mmoja anampenda sana mwenzake na huyu mwingine anashukuru/furahia/kuenzi kupendwa huko hata kama hisia zake sio sawa na za mwenzake nafasi ya wao kufika mbali ni kubwa. Tatizo lipo pale baadhi ya watu wanapotumia mapenzi waliyonayo wenzao juu yao kama udhaifu na fimbo ya kuwapigia. Unakuta mtu anamnyanyasa mwenzie kwa kila namna kisa tu anajua anapendwa, kwa style hiyo lazima mpendaji atachoka na kuamua kuondoka.