Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Mbu,
Haya mabadiliko ya haki za wanawake ni mazuri tu. Tatizo ni kwamba yameanza na gia za juu kiasi kwamba yanazua hofu kwa wanaume!
Kwa wale tuliokulia vijijini, kuna mambo hatuyawezi kabisa...Mfano umeoa ila mwanamke anakwambia hataki mtoto au mzae baada ya miaka 10 ili kwanza mfaidi maisha...Binafsi siwezi kuelewa hapo!!
Haya mabadiliko ya haki za wanawake ni mazuri tu. Tatizo ni kwamba yameanza na gia za juu kiasi kwamba yanazua hofu kwa wanaume!
Kwa wale tuliokulia vijijini, kuna mambo hatuyawezi kabisa...Mfano umeoa ila mwanamke anakwambia hataki mtoto au mzae baada ya miaka 10 ili kwanza mfaidi maisha...Binafsi siwezi kuelewa hapo!!