Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Kwahiyo babu wewe hisia zako kwa bibi DC zikoje?
Mnaishi kwasababu umemzoea au kwasababu unampenda?
Mhhh,
Very tricky...ila naweza kukueleza kuwa naishi naye kama mwenzangu wa karibu sana.. Lolote lake ni langu ingawa sina hakika kama kweli langu ni lake!!
Ndo maana nilisema huko nyuma kwamba siwezi kumtelekeza mke wangu kwenye tatizo lolote (however simple it might be) hata kama a few minutes ago kanifanyia kosa kubwa au kuniudhi sana!! Nadhani mafundisho ya baba hapa yanachukua nafasi. Alikuwa anatueleza kuwa hawezi kumchapa mtoto hata kama kafanya kosa gani kabla ya kula endapo ni muda wa chakula!! Mtakula kwanza halafu unapata zawadi yako!!
Kama nampenda Bibi DC au la, bado hata mie najiuliza!!!