palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Tafuta hati ya ndoa uisome na kuielewa vyema,ndoa zinazotambulika na serikali zipo za aina tatu yaani kimila, kiserikali na kidini.Je kati ya hizo tatu Dr Slaa alifunga ndoa ya aina gani?Chadema bana kwa kuchagua mambo leo mahakama imetenda haki lakini linapokuja suala la Lema mahakama imetumwa na Ikulu...
Vipi kuhusu madai ya Rose Kamili, ya Dr Slaa kutelekeza familia yake.
Watu hapa mnashangilia sana....but hiki kitendo ni cha AIBU sana kwa huyo kiongozi wenu Slaa!!
Badala ya kufocus kutumikia umma, muda wote anautumia kuhangaikia migogoro yake na wake za watu. Tujiulize tu swali rahisi, kama ya kanisa yalimshinda, uongozi wa nchi atauweza? Kama mpaka leo familia zake mwenyewe(Kamili&Josephin) anashindwa kuzihandle, ataweza kutuahandle watanzania wote?
baba rizwani. c unajuwa anavopendaga minuso!? juzi tu kaenda landani kula karanga-mbich
Hawakuishi pamoja kwa sababu Slaa alikuwa bado kwenye parokia.. alikuwa anakuja tu usiku na kuondoka hakukaa nae kwenye roof moja..
muwamba ngoma, ngozi huvutia kwake? Chadema tunapenda sana Dr. Slaa kiasi cha kusahau mapungufu yake kama binadamu mwingine. Kitendo cha kuzaa watoto wawili na kama kweli walikuwa wanakaa pamoja zaidi ya miezi 6 chini ya paa moja na majirani wa kuprove hilo wapo Rose anakuwa mke wa Dr. Slaa by default so she is a legal wife. Hatuingilii mahakama ni maoni tu
Huyo hapo kwenye red title yake stahiki ni kimada mstaafu.Hana hoja akitaka arudi tu huko magamba wanakomfadhili, kimada hana talaka.
Ile ya kwiba mke wa mtu nayo hakuna pingamizi??????????
wengi tuna furaha lakini mahimbo ameumizwa sana na Dk. Slaa. mwibie mtu fedha lakini sio mke
kwa hiyo tunafurahia Rose kamili na watoto wake wawili kuteseka kwa sababu ya penzi la Josephine na Dk. Slaa?
muwamba ngoma, ngozi huvutia kwake? Chadema tunapenda sana Dr. Slaa kiasi cha kusahau mapungufu yake kama binadamu mwingine. Kitendo cha kuzaa watoto wawili na kama kweli walikuwa wanakaa pamoja zaidi ya miezi 6 chini ya paa moja na majirani wa kuprove hilo wapo Rose anakuwa mke wa Dr. Slaa by default so she is a legal wife. Hatuingilii mahakama ni maoni tu
wanatakiwa wapigwe mawe hadi wafe hawa.
Kwa kuwa unapenda sana udaku mpigie simu Rose umuulize!Chadema bana kwa kuchagua mambo leo mahakama imetenda haki lakini linapokuja suala la Lema mahakama imetumwa na Ikulu...
Vipi kuhusu madai ya Rose Kamili, ya Dr Slaa kutelekeza familia yake.
Kesi iliyopo mahakamani hivi sasa ni kati ya rose kamili slaa vs wilibrod slaa dr.hii hati ya josephine na mahimbo unaihusishaje hadi uweke hapa kama sio kutumika.