Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,892
- 32,308
Mkuu karibu kwenye harusi
Nikipata wedding invitation takuja nasika dress code ni magwanda ya khaki.
Mkuu karibu kwenye harusi
kwa hiyo tunafurahia Rose kamili na watoto wake wawili kuteseka kwa sababu ya penzi la Josephine na Dk. Slaa?
alipoacha upadre aliishi naye karatu kwa miaka kadhaa kabla ya kumpata JosephineNdio ni kweli.....
Chadema bana kwa kuchagua mambo leo mahakama imetenda haki lakini linapokuja suala la Lema mahakama imetumwa na Ikulu...
Vipi kuhusu madai ya Rose Kamili, ya Dr Slaa kutelekeza familia yake.
muwamba ngoma, ngozi huvutia kwake? Chadema tunapenda sana Dr. Slaa kiasi cha kusahau mapungufu yake kama binadamu mwingine. Kitendo cha kuzaa watoto wawili na kama kweli walikuwa wanakaa pamoja zaidi ya miezi 6 chini ya paa moja na majirani wa kuprove hilo wapo Rose anakuwa mke wa Dr. Slaa by default so she is a legal wife. Hatuingilii mahakama ni maoni tu
ramadhani kwenu wewe na Hawa WAnasikia inapigwa mchana siku ya ramadhani. Kweli bado dk slaa ni Padri. hata hangojei ramadhani ipite. halafu anataka urais wa nchi yetu
Chadema bana kwa kuchagua mambo leo mahakama imetenda haki lakini linapokuja suala la Lema mahakama imetumwa na Ikulu...
Vipi kuhusu madai ya Rose Kamili, ya Dr Slaa kutelekeza familia yake.