Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Daaa!! nilijua mpunga hauliki tena, wacha tujiandae kwa ndizi na pilipili
Swadaktar
Daaa!! nilijua mpunga hauliki tena, wacha tujiandae kwa ndizi na pilipili
Chadema bana kwa kuchagua mambo leo mahakama imetenda haki lakini linapokuja suala la Lema mahakama imetumwa na Ikulu...
Vipi kuhusu madai ya Rose Kamili, ya Dr Slaa kutelekeza familia yake.
japo sheria inawatambua mwanaume na mwanamke walioishi pamoja kwa muda fulani kama wanandoa pia.sasa sijajua kama nayo inahitaji formal divorce,hiyo ya Slaa na Rose Kamili
Bado hatujui hatma ya pingamizi lililowekwa na Rose!
kwa hiyo tunafurahia Rose kamili na watoto wake wawili kuteseka kwa sababu ya penzi la Josephine na Dk. Slaa?
mwana asha je????fmpiganaji Hii inathibitisha kuwa ni ukweli kuwa siku zote alikuwa anaishi na mke wa mtu kwa uzinifu na kazaaa nae mtoto wa nje ya ndoa (haramu).
Kwi kwi kwi teh teh teh
angekuwa Jk tungesema dhaifu wa mapenzi lakini Dk . Slaa shujaa wa mapenzi
Chadema bana kwa kuchagua mambo leo mahakama imetenda haki lakini linapokuja suala la Lema mahakama imetumwa na Ikulu...
Vipi kuhusu madai ya Rose Kamili, ya Dr Slaa kutelekeza familia yake.
nasikia inapigwa mchana siku ya ramadhani. Kweli bado dk slaa ni Padri. hata hangojei ramadhani ipite. halafu anataka urais wa nchi yetu
mashabiki wengi wa chademu wanasumbuliwa na bigotry na ugonjwa wa selective memory, ugonjwa huo wameiga kutoka kwa masahiba zao magamba. hawa watani wa jadi hawana la kuchekana, maana wote wana attributes zilezile.Chadema bana kwa kuchagua mambo leo mahakama imetenda haki lakini linapokuja suala la Lema mahakama imetumwa na Ikulu...
Vipi kuhusu madai ya Rose Kamili, ya Dr Slaa kutelekeza familia yake.
kwa hiyo tunafurahia Rose kamili na watoto wake wawili kuteseka kwa sababu ya penzi la Josephine na Dk. Slaa?
Bora Dr Slaa apate jiko la halali sijui best man wedding atakuwa nani...
Chadema bana kwa kuchagua mambo leo mahakama imetenda haki lakini linapokuja suala la Lema mahakama imetumwa na Ikulu...
Vipi kuhusu madai ya Rose Kamili, ya Dr Slaa kutelekeza familia yake.
leo hii umekubali Dr SLAA ni kiongozi wako makubwa haya ni kweli alishinda uchaguzi mkamchakachua.Hayo maneno mwambie aliyeleta hii thread humu JF hivi kujua kiongozi wetu anavyoishi ni udaku...