Ndoa ya Dr. Slaa na Josephine ni ruksa, hakuna pingamizi tena dhidi yao

Huyo hapo kwenye red title yake stahiki ni kimada mstaafu.Hana hoja akitaka arudi tu huko magamba wanakomfadhili, kimada hana talaka.
anaezini na mke wa mtu nae mke wake ataziniwa tu,anaezini na binti wa mtu nae bint yake huziniwa tu,anezini na mke wa jirani nae mke wake huziniwa tu.hata huyu hatoki,ipo siku atagongewa tu.
 
Tunangoja kutangazwa kwa ndoa ya JK na Rahma Kharooooos Kasiiiga huko tuendako. Heri Dk Slaa ameweka wazi kuliko wanaojaza vimada kila sehemu na kuwaficha kwa gharama ya umma. Viongozi wetu badilike tafadhali.
hebu iweke wazi zaidi, huwa sipendi udaku lkn kwa jinsi magamba wanavomsakama doctor iweke wazi wakae kimya
 
Mahimbo ndio alianza kumtelekeza Josephine, tena anaishi na mwanamke mwingine na kuzaa naye. Josephine ameanza mahusiano na Dr. Slaa zaidi ya miaka miwili baada ya kutelekezwa. Mambo ya binafsi yanatafutiwa faida za kisiasa. Acha kutumiwa na watu kushabikia usiyoyajua.





Mambo ya kutengana mke na mume Dr. Slaa si wa kwanza. Watoto wenyewe sasa hivi ni vijana wakubwa zaidi ya miaka 18 na hawajalalamika kutelekezwa wala kukosa matunzo. Mama yao ni Mbunge naye akisema ameshindwa kutunza watoto atakuwa mwongo.

Lakini Dr. Slaa na Rose Kamili walikuwa tayari wana tofauti kubwa sana ambazo haziwawezeshi kuendelea kuishi pamoja. Kama ambavyo Nelson Mandela na Winnie walifikia hatua wakatengana kisha Mandela akamuoa Graca Machel, si kitu kipya kwa Dr. Slaa wala hakina sura mnayotaka kipate.

Ni kweli taarifa nyingi zinasema Dr Slaa na Rose Kamili walikuwa na matatizo makubwa sana ......,ukiongea na watu wa Chadema wansema kiongozi wao hakuwa mtu mwenye furaha...,smart na hakuwa akila vizuri na kupelekea kuanza kupata matatizo ya kiafya....kutokana na mawazo ya Mahusiano na mkewe Rose.....
Ni muhimu tutofautishe siasa na mapenzi ....mapenzi ni kitu tofauti...na bila mapenzi ya dhati hata siasa haifanyiki......hii ndio imefanya mfano ..Mandela kuamua kumuacha mkewe aliyemsubiri miaka 28 akiwa jela....alilaumiwa lakini badaye watu walimuelewa..kuwa mzee mandela alikuwa akiteseka...kwenye kitabu chake mandela alilalamika " winnie always came to bed when i was already deep asleep and work early before i would work up".....kwa watu wazima mtakuwa mmemuelewa mzee mandela alimaanisha mini...akampata Graca ambaye akiwa mjane alikuwa anajuwa machungu ya upweke akamsitiri.....

Naomba tutenganishe kabisa mapenzi na siasa ...waliopata nafasi ya kuumizwa maishani watanielewa....hata marais wa karibuni wa ufaransa wananchi wamewachagua bila kuangalia maisha yao ya mapenzi ....kwa sababu wazungu wanajuwa maana ya furaha kwenye ndoa na impact yake kwenye uongozi...

Kuhusu Rose Kamili ...daima anaweza kubaki kuwa kama Winnie kwa mandela...Mama wa watoto wake ..,mwezake kwenye mapinduzi na mapambano...na wana chadema wakitaka kufanya vema wanaweza kuendelea kumpa heshima hiyo ....Lazima muelewe na kumsamehe Rose kwa kitendo cha kwenda mahakamani..ni mwanamke!! hata kama anazitambua kasoro zilizoharibu mapenzi yao na Mumewe....kitendo cha kuona mumewe anaoa tena ...kinamuuma mwanamke yeyote....asilaumiwe kwa hilo ,wala kukebehiwa bali atiwe moyo.....na yeye ajuwe kuwa wapinzani wa chadema wanaweza kumtia ndimu..asikubali kumuharibia baba wa watoto wake kwa ajili ya mambo ambayo kwenye maisha yapo!!!

Kuna watu wa ccm wanataka kufanya siasa kenye hili...lakini watambue siasa sio mapenzi....hata rais wetu ...alikuwa na mama yake ridhiwani..akazaa pia na wanawake wengine wengi tu ...,na akamuoa Mama Salma....hatukumnyima kura kwa ajili ya hilo!!!.......ili mradi tunajuwa ni maisha tu....mradi heshima .

Maisha Yanaendelea!!!
 
kwa hiyo dr slaa sio mwaminifu katika ndoa zake,inawezekana kabisa hata huyu josephine mahimbo nae baadae akamkimbia pia km alivomtosa rose.


Kila mtu ana haki ya kupenda na kupendwa. And no one owns anyone. Kama unaona mambo yanakwenda tofauti na matarijio mwenzio ana haki ya kujua. Ni bora mara mia ukasema kweli hata kama ukweli huo ni kwa kuondoka, kuliko hii traffic jam ya Dodoma wakati wa bunge!
 
Itakuwa vizuri kama hii ndoa ingerushwa live bila chenga...Josephine unakubali kumpokea mume wako katika shida na raha....Ndiyoooo nakubali...! wenye vijiba jinyongeni...
 
Huraaaaa huraaaaaa nawatakia kila la kheri Dr Wilbroad Slaa na Mkewe mtarajiwa Bi Josephine Mashumbushi bwana awabariki sana kwa hilo,kuhusu Rose kamili hakuna haja ya kuzungumzia kwani yeye sawa kazaa na Dr Slaa lakini hawana ndoa na hata kama waliishi miaka mia wote tena kwa nyumba moja kama hawajafunga ndoa hakuna kitu hapa pia, ni kwamba walikuwa wachumba au kwa lugha za wenzetu wanaita Living together.Rose Kamili katumwa na Magamba so atakuwa keshaangukia pua bora angeomba ushauri kwa watu wenye akili kuliko kwa Magamba Ccm Lol ati uombe ushauri kwa Mwigulu au Lusinde Lol!! sijaui hapo utategemea kupewa ushauri gani?????tehete teehheee
 
Chadema bana kwa kuchagua mambo leo mahakama imetenda haki lakini linapokuja suala la Lema mahakama imetumwa na Ikulu...

Vipi kuhusu madai ya Rose Kamili, ya Dr Slaa kutelekeza familia yake.

Wewe jiandae kwa pilau ya harusi mzee; usilalamike. Mbona pilau za uchaguzi huwa huzilalamikii?
 
japo sheria inawatambua mwanaume na mwanamke walioishi pamoja kwa muda fulani kama wanandoa pia.sasa sijajua kama nayo inahitaji formal divorce,hiyo ya Slaa na Rose Kamili

hakuna sheria inayotambua hiyo kitu uliyoitaja, ni cheti cha ndoa tu ndicho kinachothibitisha. nenda RITA kawaulize watakuelezea.
 
Makubwa haya!

Kama mahakama imetoa hati ya talaka tarehe 16 april mwaka huu, maana yake ni kwamba dr slaa kabla ya tarehe hiyo alikuwa akitembea na mke wa mtu wazi wazi ambayo ni kinyume cha sheria za jamhuri ya muungano wa tanzania, na ni kinyume cha maadili ya kikristo na ni kinyume cha maadili mema.

Sioni ni kwa namna gani slaa anakuwa mfano mwema kwa jamii!. Kama anaweza kuiba mke wa mtu atashindwa vipi kuiba pesa ya umma akiingia ikulu?.
 
Makubwa haya!

Kama mahakama imetoa hati ya talaka tarehe 16 april mwaka huu, maana yake ni kwamba dr slaa kabla ya tarehe hiyo alikuwa akitembea na mke wa mtu wazi wazi ambayo ni kinyume cha sheria za jamhuri ya muungano wa tanzania, na ni kinyume cha maadili ya kikristo na ni kinyume cha maadili mema.

Sioni ni kwa namna gani slaa anakuwa mfano mwema kwa jamii!. Kama anaweza kuiba mke wa mtu atashindwa vipi kuiba pesa ya umma akiingia ikulu?.

mke anaibiwaje?

Kweli gamba ni gamba tu
 
Makubwa haya!

Kama mahakama imetoa hati ya talaka tarehe 16 april mwaka huu, maana yake ni kwamba dr slaa kabla ya tarehe hiyo alikuwa akitembea na mke wa mtu wazi wazi ambayo ni kinyume cha sheria za jamhuri ya muungano wa tanzania, na ni kinyume cha maadili ya kikristo na ni kinyume cha maadi



Sioni ni kwa namna gani slaa anakuwa mfano mwema kwa jamii!. Kama anaweza kuiba mke wa mtu atashindwa vipi kuiba pesa ya umma akiingia ikulu?.

Hajaiba kitu. Mbona mambo yote waziwazi kweupee??
 
wanatakiwa wapigwe mawe hadi wafe hawa.

Tuanze kukupiga wewe mawe!! Na anayejiona amesimama basi na anayanyue jiwe ampige Dr. Slaa. Nikifumba macho nitakuta wengi wamasepa!!! Hivi mnamsemaje Dr. wakati yeye amekuwa wazi na anajua taratibu zote? Wengi wetu hapa vimada nje wa siri bora Dr. yuko wazi na mpenzi wake Josephine. Acha tarehe 21/07/2012 watu wafurahie pingu hizo. Sisi wengine tukae kimya!!! Hivi mmeshasikia hata kanisa katoliki wameingilia kati? Angalia msije wengine mkaandikiwa onyo kali au karipio kama lile alilipewa ndugu yule mbunge na waziri msinzia bungeni mwenye sura ya kutisha wajuku zangu wanalia wakimuona na anayelipuka kama baruti kama alivyofanya kule Arumeru Mashariki na kanisa likamkona na akaomba msamaha na bado SSM chali. Dr. is clean and transparent!!! How about you and me? Judge yourself before throwing stones to others!!
 
FJM, Kwani Padre Slaa anaruhusiwa kufunga ndoa chachi?

Yes alisharuhusiwa siku nyingi kwa kibali maalum aweze kuishi maisha ya kiutaua na ndiyo maana hujasikia kabisa malalamiko toka TEC (Baraza la Maaskofu Tanzania). Ni tofauti na Fr. Nkwera ambaye yeye alifukuzwa kwa utovu wa nidhamu (hivi bado yuko hai? Sijamsikia tena).
 
Chadema bana kwa kuchagua mambo leo mahakama imetenda haki lakini linapokuja suala la Lema mahakama imetumwa na Ikulu...Vipi kuhusu madai ya Rose Kamili, ya Dr Slaa kutelekeza familia yake.
Tafsiri ya "kutelekeza..." kisheria ina maana kwamba anayemwacha mwenzake ndiye anayeweza akawa ametelekeza au aliyeachwa ndiye ametelekeza. Hivyo, ushahidi ndio unaoonesha nani kamtelekeza mwenzake na siyo tu madai ya mtu.
 
Back
Top Bottom