ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Ni jumatatu nyingine tena kikundi kimoja cha kidini (waislam),wamesababisha kutoweka kwa amani baada ya kuanzisha mgomo kwa lengo la (a)kudai kunyimwa kupatiwa eneo la kujenga msikiti shuleni (b)kukataa uongozi wa wanafunzi kwa kudai kutokuwa na usawa katika uongozi huo(idadi sawa ya waislam na wakristo)
, kwa style hii shule itageuka eneo la kuabudia..
nashauri serikali itangaze shule hiyo kuwa ya kilimo halafu wale wadudu anaopenda bujibuji wafugwe, iwe ni zamu yaq kila mtu kuwahudimia. hii itakuwa ni njia ya kuwafundisha vijana kufikiria ujasiliamali na sio udini.
kilo moja ya mdudu ni zaidi ya kilo moja ya ng'ombe. 6,000tsh/kg kwa 4,000tsh/kg