Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,406
Jamani hivi kuna mtu ashawahi kufikiria kitu kama hiki? naomba mchangie bila kumtukana rais wala watawala wake, kama huna fact unataka kutukana naomba ukae kimya tu kwa sababu kila mtu an ahasira zake, na hawa viongozi.
Hii ndege ndio inayomfanya kila siku kiguu na njia kwenda kwenye matamasha, ndio! hizi ni kodi zetu hizi kwa nini tunyamaze?
nchi yenya watu mili 40, haina vita ina madini na migodi mbali mbli ,ina maziwa na bahari ina vivutio vya utalii lakini haimiliki ndege, suitaki kusema kuwa kuwa na ndege ndio uchumi wako una kuwa strong but this is the source of employment also, tunashindwa kufikiria .
Hakuna faida ya hii ndege zaidi ya kututia hasara tu kwa safari zake za mara kwa mara.unafikiri ndege isingekuwepo si angekuwa nchini anafuatilia bunge? iaal hajui hata kitu gani inachoendelea na
VIJANA WA SIKU HIZI WANASEMA MWACHE ALE BATA:
Hii ndege ndio inayomfanya kila siku kiguu na njia kwenda kwenye matamasha, ndio! hizi ni kodi zetu hizi kwa nini tunyamaze?
nchi yenya watu mili 40, haina vita ina madini na migodi mbali mbli ,ina maziwa na bahari ina vivutio vya utalii lakini haimiliki ndege, suitaki kusema kuwa kuwa na ndege ndio uchumi wako una kuwa strong but this is the source of employment also, tunashindwa kufikiria .
Hakuna faida ya hii ndege zaidi ya kututia hasara tu kwa safari zake za mara kwa mara.unafikiri ndege isingekuwepo si angekuwa nchini anafuatilia bunge? iaal hajui hata kitu gani inachoendelea na
VIJANA WA SIKU HIZI WANASEMA MWACHE ALE BATA: