Nchi haina NDEGE ila Rais ana NDEGE

hatutaki kitu kama hii..tunataka nchi iwe na ndege zake na ziweze ku compete na nchi nyingine.. kwanza hapa tunaitangaza nchi na ajira kibao tu
huwezi kuniambia kuwa ndege zilipotea au kufa au shirika limekufa kwa sababu eti hakuna abiria, abiria wapo kibao sema vichwa marais wetu ndio mabuyu
tunakufa kwa kiu baharini , huu si ni uzembe? mimi nina hasira sana juzi juzi kenya airways walinifanyia dharau kubwa sana ndio maana nimekasirika na hapa kial kikicha watu wanakuaj na malalamishi ya hii kenya airways.. kwa nini mmeua Tanzania airways?

Mkuu nilikuwa nataka tu kufahamishwa kuhusu umiliki wa national flag carrier. Abiria wapo kibao si unaona Precission wanawatema abiria wa kigoma.
 
Elewa hapa hoja ni 'nchi haina ndege za kibiashara bali ndege ya rais' alafu kwa swali lako Botswana haina ndege ya rais ila wana ndege za taifa lao japo pato lao ni kubwa kuliko letu.
BotswanaThe Botswana Defence Force operates a Gulfstream IV as a VIP transport. This is registered OK2. The Gulftream IV OK2 has recently been sold and received a Certificate of Airworthiness for United States registry. The Botswana Defence Force also operates a Global Express OK1 as a VIP transport
 
Jamani tulishafanya makosa sana kama mtu mmoja mmoja na kama taifa,hasa viongozi wetu,tukubali tu tuanze upya,ningekuwa na uwezo ningeweka nchi ktk muda wa mpito,tunapiga chini watendaji wote wakuu,rais,mawaziri,makatibui wakuu nk,namaanisha wakae majumbani kwao wakati tukitafuta kwa umakini viongozi watakaotusaidia kujenga msingi mpya,hili ndilo suluhisho pekee
 
na ya kwetu inaitwa "ndege ya rais" lakini inamilikiwa na wakala wa ndege za serikalI "TGF"
 
ATC kubolonga ovyo katika safari za kimataifa sio kosa la kumlaumu kikwete kabisaa. Safari za ndani ya nchi hazilipi kwa ATC maana wapanda ndege ni wachache sana na masikini ni wengi.Mikoa ambayo ATC hutegemea kupata wateja wake ni Arusha, mwanza, na Dar Es Salaam tuu badala ya nchi nzima. Halafu hawa abilia wenyewe walikuwa hawatumii fedha zao za mfukoni bali safari imprest. Sasa kufa kwa mashilika mengi ya umma na kubinafusishwa makampuni mengi kumeleta homa ndani ya mapato ya ATC. Hii yote ni kwasababu ya kujaza wazururaji wengi na ukosefu wa kazi kwa walio wengi. Ukija safari za kimataifa, Tanzania haina jina zuri katika nchi za ulaya magharibi. ATC ilikuwa haipati kabisaa abiria wa kutosha kuja tanzania ilipokuwa inafanya safari za London. Kumbuka mwaka 1974 Tanzania ilipiga marufuku mashindano ya magari ya East african rally yaliokuwa maarufu sana duniani kutangaza gari bora la dunia. Eti kwa kisingizio kuwa ni mabo ya kibepari!!!Nchi za Ulaya zilisikitika sana. Sasa nao wanatukomoa katika safari za anga.
 
ATC kubolonga ovyo katika safari za kimataifa sio kosa la kumlaumu kikwete kabisaa. Safari za ndani ya nchi hazilipi kwa ATC maana wapanda ndege ni wachache sana na masikini ni wengi.Mikoa ambayo ATC hutegemea kupata wateja wake ni Arusha, mwanza, na Dar Es Salaam tuu badala ya nchi nzima. Halafu hawa abilia wenyewe walikuwa hawatumii fedha zao za mfukoni bali safari imprest. Sasa kufa kwa mashilika mengi ya umma na kubinafusishwa makampuni mengi kumeleta homa ndani ya mapato ya ATC. Hii yote ni kwasababu ya kujaza wazururaji wengi na ukosefu wa kazi kwa walio wengi. Ukija safari za kimataifa, Tanzania haina jina zuri katika nchi za ulaya magharibi. ATC ilikuwa haipati kabisaa abiria wa kutosha kuja tanzania ilipokuwa inafanya safari za London. Kumbuka mwaka 1974 Tanzania ilipiga marufuku mashindano ya magari ya East african rally yaliokuwa maarufu sana duniani kutangaza gari bora la dunia. Eti kwa kisingizio kuwa ni mabo ya kibepari!!!Nchi za Ulaya zilisikitika sana. Sasa nao wanatukomoa katika safari za anga.

Haya ni mawazo mgando, presicion Air wanapata wapi wateja?
 
Kweli kitambi cha baba hakimaanishi afya ya familia yake....Yaani waTz kimaendeleo tunakuwa tumefika labda hatua ya 5, badala ya kwenda hatua ya 6 ndo tuite maendeleo si tunarudi hatua ya 4 kisha tunahangaika tena kuitafuta hatua ya 5 na tukiifikia tunajipigia makofi eti tumeendelea...Tazama, baada ya kugawa ATC kwa makaburu na kuiua ATC, maendeleo kwetu ni kurejesha ATC mikononi mwetu japo hakuna ndege ya ATC hewani, Tumegawa shirika la reli ya kati kwa wahindi WAMELIUA na ujinga wetu maendeleo ni kuwanyang'anya wahindi shirika na kulirejesha mikononi mwetu ila waliotufikisha hapo ni wao na 'tooth pick' a.k.a stiki (kibongobongo) 24/7.
 
ATC, wana ndege mbili tu zote mbovu moja inatengenezwa South Africa ingine ipo dar halafu cha kuchekesha ATC inawafanyakazi 90, sijui wanafanya kazi gani
asubuhi wanaenda kazini jioni wana rudi na wana drive
 
tuseme kweli daima na fitina(UCHONGANISHI) kwetu uwe mwiko....!
Tulikuwa tunaweka sawa na si KUJIVUNIA,wala KUPOTOSHA
NGUVU MOJA katika maendeleo yetu....kweli wanakula ila hata wasipokula tuseme wamekula? na walipokula tuseme hawajala? NOOOO!
NDIYO YAKO NA IWE NDIYO ..NA SIYO YAKO NA IWE SIYO....!
 
Jamani hivi kuna mtu ashawahi kufikiria kitu kama hiki? naomba mchangie bila kumtukana rais wala watawala wake , kama huna fact unataka kutukana naomba ukae kimya tu kwa sababu kila mtu an ahasira zake, na hawa viongozi.
hii ndege ndio inayomfanya kila siku kiguu na njia kwenda kwenye matamasha , ndio! hizi ni kodi zetu hizi kwa nini tunyamaze?
nchi yenya watu mili 40 , haina vita ina madini na migodi mbali mbli ,ina maziwa na bahari ina vivutio vya utalii
lakini haimiliki ndege, suitaki kusema kuwa kuwa na ndege ndio uchumi wako una kuwa strong but this is the source of employment also , tunashindwa kufikiria .
hakua faida ya hii ndege zaidi ya kuktutia hasara tu kwa safari zake za mara kwa mara.unafikiri ndege isingekuwepo si angekuwa nchini anafuatilia bunge? iaal hajui hata kitu gani inachoendelea na
VIJANA WA SIKU HIZI WANASEMA MWACHE ALE BATA:

Siyo hilo tu, Hii ni nchi pekee duniani ambayo makao makuu ya nchi hayana usafiri wa ndege! hahahaha kudadadeki!!!!!!
 
Back
Top Bottom