Nawauliza CHADEMA, mtashinda vipi uchaguzi ikiwa watu wa vijijini ni mara mbili ya watu wa mjini?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,128
49,863
Chadema Huwa mnachekesha na kushangaza sana.

Unakuta mko busy Mjini kuhadaa bodaboda,kupiga picha za kile mnaita mafuriko na kutupia Twitter huku mkijifariji kwamba Mna watu na mnakubalika sana wakati kiuhalisia hamjui wapi Watanzania wengi wanaishi..

Sasa Kwa taarifa yenu tuu ni kwamba Wakaazi wa Vijijini ni mara 2 ya Wakaazi wa Mijini hivyo mpaka hapo mnajisumbua tuu..

Yaani Kwa hesabu simple tuu kwamba hata mshinde uchaguzi miji yote Tanzania ,(ambapo hamuwezi) na CCM washinde Vijijini tuu hamtakaa mchukue Nchi..

Mwisho,Chadema niwaeleze ukweli mwingine mchungu ni kwamba sehemu ambazo moishinda ni Kwa vile ccm iliwakata wagombea
wa ccm waliokuwa wanakubalika eg Nkasi..
===
Idadi ya Watu nchini Tanzania kwa umri
1687873010288.png


Kulingana na matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi iliyofanyika Oktoba 23, 2022 yanaonyesha kwamba idadi ya Watanzania wanaoishi maeneo ya Vijijini ni karibu mara mbili ya wale walioko mijini.

Aidha, kulingana na matokeo hayo ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu @nbs.tanzania kundi la Watanzania wenye mwaka 0 hadi 19 ambao ni 32,672,377 ndilo lenye watu wengi zaidi ambao ni zaidi ya nusu ya watu wote 61,741,120.

My Take
Ni vyema mkajiandaa Kisaikolojia msije kuanza kusema mumeibiwa maana huko Vijijini watu wanataka uwaoneshe ulichofanya sio porojo za mdomoni.

Pia Huko Mjini Kuna Vijana wengi na unfortunately Huwa hawapigi kura na ndio washabiki wenu wengi,nawapa pole in advance😁😁
 
Chadema njooni mtueleze kama mbinu ya mafuriko ya Twitter itafanya kazi kwenye uchaguzi wa 2024 na 2025
 
Niliwahi pendekeza humu idadi ya wapiga kura tanzania ipunguzwe kwa kigezo cha elimu na umri.

Sio kila mtu anaweza kuchagua kiongozi. Tunalazimisha watoto wa 18 yrs wakapige kura, wanaelewa nini kuhusu siasa za nchi hii?
 
Niliwahi pendekeza humu idadi ya wapiga kura tanzania ipunguzwe kwa kigezo cha elimu na umri.

Sio kila mtu anaweza kuchagua kiongozi. Tunalazimisha watoto wa 18 yrs wakapige kura, wanaelewa nini kuhusu siasa za nchi hii?
Mkuu Ili iwaje? 😂😂
 
Chadema Huwa mnachekesha na kushangaza sana.

Unakuta mko busy Mjini kuhadaa bodaboda,kupiga picha za kile mnaita mafuriko na kutupia Twitter huku mkijifariji kwamba Mna watu na mnakubalika sana wakati kiuhalisia hamjui wapi Watanzania wengi wanaishi..

Sasa Kwa taarifa yenu tuu ni kwamba Wakaazi wa Vijijini ni mara 2 ya Wakaazi wa Mijini hivyo mpaka hapo mnajisumbua tuu..

Yaani Kwa hesabu simple tuu kwamba hata mshinde uchaguzi miji yote Tanzania ,(ambapo hamuwezi) na CCM washinde Vijijini tuu hamtakaa mchukue Nchi..

Mwisho,Chadema niwaeleze ukweli mwingine mchungu ni kwamba sehemu ambazo moishinda ni Kwa vile ccm iliwakata wagombea
wa ccm waliokuwa wanakubalika eg Nkasi..


My Take
Ni vyema mkajiandaa Kisaikolojia msije kuanza kusema mumeibiwa maana huko Vijijini watu wanataka uwaoneshe ulichofanya sio porojo za mdomoni.

Pia Huko Mjini Kuna Vijana wengi na unfortunately Huwa hawapigi kura na ndio washabiki wenu wengi,nawapa pole in advance
Huu mkutano ulifanyika Mji gani ?

FB_IMG_1684753314240.jpg
 
Vijijini na chai wapi na wapi? Wakulima waambie bei za mazao zimeshuka,hakuna Barabara ndio watakuelewa.
Hawanunue disel/petrol, sabuni n.k? mwenyewe natokea kijijini hivyo naelewa kila kitu mjini nimefika nikiwa na miaka 15 nikitokea kijijini hivyo hakuna ambacho sikijui kuhusu vijiji
 
Hawanunue disel/petrol, sabuni n.k? mwenyewe natokea kijijini hivyo naelewa kila kitu mjini nimefika nikiwa na miaka 15 nikitokea kijijini hivyo hakuna ambacho sikijui kuhusu vijiji
Wewe unaishi mjini umeshaharibika, Kijijini wanapiga kazi hawana malalamiko ya vitu vidogo vidogo hivyo..

Mwisho Chadema Haina viwanda kwamba itawauzia Bure.
 
Ndipo wale sabini waliporudi kwa furaha...
Je! Wale 'sabini' hawakutegemea kuwa watarudi?
Je wale 'sabini' walitegemea kuwa watarudi bila furaha?
Stay tuned to 2025 radio fm...
 
Mfanyabiashara kutoka “IGUNGA-TABORA” ndugu ROSTAM ABDULRASUL AZIZ amejigamba kwamba yeye HAFANYI BIASHARA NA SERIKALI. Anataka TUMUAMINI. Sasa, ROSTAM jibu maswali haya:1. Wewe ni nani mpaka USAINI kwa niaba ya SERIKALI ya TANZANIA?2. Je, RAIS ni sehemu ya BIASHARA za ROSTAM?
1687873439155.png
 
Back
Top Bottom