mchakachuaji1
Senior Member
- Nov 4, 2010
- 104
- 7
EEee mungu wa israel na isaka tunusuru nchi hii tupe akili na mawazo ya kuwachinja wale wote wanaopelekea haya kwa kuanza na mmiliki wa DOWANS pamoja na wengine wote ambao kwao Nauli kupanda na umeme sio tatizo kwani wanatumia bure na zinalipwa na serikali kwa kutumia Kodi zetu walalahoi.
Hutawasikia wakichangia kitu kwani kwao sio la muhimu maana maumivu hakuna eee baba yetu tusikie na utupe nguvu.
AMEN.
Amen tutendewe kama ulivyonena.