Nauli za daladala kupanda Dar

Haya yote yanatokea kwa sababu nchi hii hatuna Rais. period!!!!!!!
Tungekuwa naye, hao waliopendekeza hiyo nauli wala wasingethubutu kupendekeza nauli kubwa kiasi hicho. Wanafanya hivyo kwa kuwa wanafahamu udhaifu wa kikwete.
 
Mkiandamana tena kupinga nauli hizi tutaua twice as much, tulia tuliii, nchi itawalike bila mizengwe.

Mnataka kuanzisha chokochoko kwenye Kisiwa cha Amani?

Nikisoma hii post nahisi kutetemeka ...Maaana huyu jamaaa nikumuita zuzu nakosea anweza kuwa ni marehemu anayeishiii...aghGGGGGGGGGHHHHHHHHHHHH:A S-devil1:
 
No more talking. It's action time. Mi sasa actions kwa kwenda mbele. Mtanisoma tu....
Safi, ni wakati wa vitendo. Wengine wanadhani haya ni mapambano ya kina Slaa, Mbowe, Lipumba et all pekee, mnaporwa haki taratibu kwa mtindo huu, rais anaongea kirahisi tu kuwa "kupanda kwa gharama za umeme hakukwepeki" na sekta kama hii ya usafirishaji wanasikia, mnatarajia wao wakubali kubakia chini? Tatizo si wasafirishaji, mfumo mzima umeanza kuvunda baada ya kuoza, kila kitu 'holela' tu, hakuna wa kukemea!
Mkuu huamini statement hii ktk avatar yangu?

this time i will kill
Mkuu, suala hapa si kuandika tu, mfano hai kaonyesha Josephine ambaye damu yake imemwagika pale Arusha!

Sasa angalia chini "Great Thinkers" hawa walivyoniporomoshea mitusi, sijui kama wanasoma between lines au ndio washapanda mizuka ajili ya Arusha incidence?

Puppet you!

Unafahamu maana ya amani wewe? Katafute kamusi ujielimishe kwanza. Kwasababu tu watanzania walikuwa wavumilivu wa kureact haina maana hiyo ndio amani. Imani itakuwepo vipi kama mwenzako anakula paja la kuku halafu hapo hapo anakunyang'nya hata huo mchicha wa kuchemsha unaokula? I think the mesage on your avatar should seriously be applied to you!!

Paka shume ww fisadi papa

Nikisoma hii post nahisi kutetemeka ...Maaana huyu jamaaa nikumuita zuzu nakosea anweza kuwa ni marehemu anayeishiii...aghGGGGGGGGGHHHHHHHHHHHH:A S-devil1:
 
Lakini jamani si ni nchi yenye utulivu na amani maandamano ya nini? Au utulivu umeisha? Mi naona tuikubali tu hiyo nauli tusije kuuliwa bure na ccm
 
Wanataka turudi kwenye enzi za ujima za mawasiliano strictly within walking distance. No nyenzo za kwenda mbali.
 
I think I like this, if possible waongeze even mor than that, n ain' sure if itaweza shuka kwa hii miaka 5. Probably it'll help our minds to get back consciousness..!
But sitashangaa kukuta stil kuna watu ambao brain zao zimestuck..((
 
Nimesikiliza mapendekezo ya nauli mpya za mabasi zikanistua sana, nikaogopa sana na kujiuliza nchi hii tunaelekea wapi..?

Kumbuka kupanda kwa nauli hizi kutasababisha kupanda kwa bei za bidhaa karibu zote hapa nchini na sana sana mikoani kwa ndugu zetu ambao maskini wa Mungu kipato chao....


Ndugu Wana JF, kama watanzania tufanyeje kuepusha balaa hili?

Maisha yatakuwa magumu sana kama kweli mapendekezo haya yatakubaliwa. Nafikiri viongozi wa SUMATRA wanapata mgao kwenye haya mapendekezo.
 
Na bado lazima nauli ifike Tshs 1 million kwa jinsi serikali hii isivyojua kuweka vipaumbele vya kuinua uchumi sitoshangaa ikelekea huko. Mtu ukitaka kusafiri mkoani itabidi uende na kigunia cha pesa za madafu kama nauli yako.
 
Hivi watanzania wakati wa kupiga kura mlitambua watu mnawakabidhi dhaman ya nchi hii? FUNGENI MIDOMO HAKUNA WA KUMLILIA
 
Na bado, umeme juu, mafuta juu. Mpaka wananchi watie akili, si waliichagua CCM? Mwaka 2005 Lipumba alipotakiwa kutoa maoni yake kuhusu matokeo ya uchaguzi mkuu alisema ''Kama Watanzania wenye dhiki na shida zote hizi wameichagua tena CCM kwa 80%, basi Watanzania sio watu wa kuhurumiwa''.
 
Kupanda kwa nauli: SUMATRA yawapa kibarua TABOA Friday, 07 January 2011 09:32 *Wataka nauli zipande mara dufu
Na Waandishi Wetu,jijini

WAKATI Chama cha Wamiliki wa Mabasi yaendayo Mikoani (TABOA), wakijipanga kushinikiza kuwe na ongezeko la asilimia 100 la nauli kwa abiria waendao mikoani, Chama cha Kutetea Abiria (CHAKUA), kimewajia juu na
kudai kuwa hawakubaliani na ongezeko hilo.

Akizungumza leo asubuhi, mshauri wa CHAKUA, Wilson Mashaka, amesema ongezeko hilo ni kubwa na wananchi hawataweza kulimudu kutokana na hali ya uchumi ilivyo hivi sasa.

Amesema ni kwa muda mrefu baadhi ya wa wananchi wamekuwa wakishindwa kusafiri kwenda mikoani kutokana na ukosefu wa nauli hali ambayo inatokana na ugumu wa maisha unaozikabili familia nyingi.

“Tumekuwa tukitaniana sana mitaani huko kwamba watu hawaendi makwao hadi wapate misiba, je nauli ikiongezeko si ndiyo kutakuwa kuna hatari ya wengi kushindwa kwenda vijijini kwao kuwasalimia ndugu na jamaa,” amesema Mashaka.

Ameongeza kuwa kutokana na hali halisi ya maisha ya Watanzania wengi, CHAKUA haikubaliani na ombi la kuongeza nauli na badala yake watafute mbinu mbadala ambayo itawasaidia wamiliki hao kuendesha biashara yao.

Wakati huo huo, Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Nchi Kavu na Majini ( SUMATRA), Gilliard Ngewe, amesema bei za mabasi zibakie kama zilivyo na amewashauri wamemiliki wa mabasi wanunue mabasi ya bei nafuu ili kuendesha biashara yao bila matatizo.

Amesema kinachochangia kupanda kwa nauli siyo bei kubwa ya mafuta kama inavyodai TABOA bali kuna sababu nyingi zikiwamo za kuzagaa kwa wapiga debe vituoni na ushuru wa aina mbalimbali.

Endapo SUMATRA itakubali ombi la wadau wa usafiri nchini itazidi kuwapa ugumu wa maisha wananchi wenye kipato cha chini ambao ndiyo walengwa wa usafiri huo.

Kutokana na bei hizo mpya zilizopendekezwa na TABOA, abiria wanaotoka Dar es Salaam kwenda Arusha watatakiwa kulipa sh. 43,000 kutoka 16,000 ya sasa na Dar es Salaam kwenda Mbeya itakuwa sh. 58,000 badala ya sh. 22,000.

Bei hiyo elekezi ya TABOA, kwa mujibu wa Katibu wa chama hicho, Wilbroad Mtenga, aliomba kila abiria alipe sh. 69.80 kwa kilometa moja badala ya sh. 26.6 ya sasa, sawa na ongezeko la asilimia 163.

Hata hivyo, msimamo wa SUMATRA uliotolewa jana ulipinga maombi ya TABOA ya kutaka nauli ipandishwe kwa kiasi hicho wakiungana na wanasiasa wa vyama mbalimbali na wananchi.

wanaJF kazi kwetu maisha yanazidi kuw magumu kila kona. je tutafika au nchi imeshauzwa kwa wenye nazo?
 
Hiyo mbona cha mtoto, kwa taarifa yenu Hiyo nauli watu wa KIGOMA wameshaizoea, unadhani kwa nini kuna wabunge wengi wa vyama vya upinzani, na ulizia wale wasio wa upinzani walishinda kwa tofauti ya kula ngapi. Kule Maisha yako juu kupita maelezo.

Ila kwa kweli serikali imeanza kutukumbuka sasa Daraja la Maragarasi litaanza kujengwa bila shaka Ukali utapungua. Kwa hiyo ndugu zangu naomba tusilalamikie hii bei.
 
I really don't understand it; asilimia 61 ya Watanzania wamewachagua na kuwarudisha madarakani watu wale wale. Halafu walitarajia nini? Huwezi kufanya uamuzi au uchaguzi bila kuwa tayari kulipa gharama yake.
 
Baba yetu uliye ikulu, jina lako litukuzwe kwa wanaCCM wanavyokutukuza (una umaarufu kuliko chama) na hata huko nje walikosema wewe ni kiongozi nambari 10 africa. Mapenzi yako ya maisha bora yafanyike kama yalivyofanyika huko Arusha hapo juzi. Utupe leo riziki yetu kwa kupandisha nauli maana kila kitu kitapanda. Utusamehe makosa yetu ya kufikiri vyema kwa kutokukupigia kura kama ulivyomsamehe mzee wa vijisenti, Roast-tamu Laazizi, na dowans. Kwa maana ikulu ni yako mpaka watanzania watakapong'amua kupigania haki yao milele yote. Amina.
 
Back
Top Bottom