mimi naombea maisha yawe magumu zaidi hasa kwa mikoa ya LINDI, MTWARA, PWANI, RUVUMA nk. ili watu wakule waamke kutoka usingizini, na wafahamu kuwa pesa zinazolipwa dowans ni zao.
Mkiandamana tena kupinga nauli hizi tutaua twice as much, tulia tuliii, nchi itawalike bila mizengwe.
Mnataka kuanzisha chokochoko kwenye Kisiwa cha Amani?
Waite uone balaa lake, watakumwaga ki......thiiiiii weweeeeeeee!Hao wanajeshi si wanapanda bure? Wanaitwa MAWE, unadhani wana akili ya kufanya rev wakati washapewa kombat mpya?
Mkiandamana tena kupinga nauli hizi tutaua twice as much, tulia tuliii, nchi itawalike bila mizengwe.
Mnataka kuanzisha chokochoko kwenye Kisiwa cha Amani?
this time i will kill
Nimesikiliza mapendekezo ya nauli mpya za mabasi zikanistua sana, nikaogopa sana na kujiuliza nchi hii tunaelekea wapi..?
Kumbuka kupanda kwa nauli hizi kutasababisha kupanda kwa bei za bidhaa karibu zote hapa nchini na sana sana mikoani kwa ndugu zetu ambao maskini wa Mungu kipato chao....
Ndugu Wana JF, kama watanzania tufanyeje kuepusha balaa hili?
I really don't understand it; asilimia 61 ya Watanzania wamewachagua na kuwarudisha madarakani watu wale wale. Halafu walitarajia nini? Huwezi kufanya uamuzi au uchaguzi bila kuwa tayari kulipa gharama yake.
I really don't understand it; asilimia 61 ya Watanzania wamewachagua na kuwarudisha madarakani watu wale wale. Halafu walitarajia nini? Huwezi kufanya uamuzi au uchaguzi bila kuwa tayari kulipa gharama yake.
Nimesikiliza mapendekezo ya nauli mpya za mabasi zikanistua sana, nikaogopa sana na kujiuliza nchi hii tunaelekea wapi..?
Kumbuka kupanda kwa nauli hizi kutasababisha kupanda kwa bei za bidhaa karibu zote hapa nchini na sana sana mikoani kwa ndugu zetu ambao maskini wa Mungu kipato chao....
Ndugu Wana JF, kama watanzania tufanyeje kuepusha balaa hili?