ok,
but
ni
aina
ya
cm
nnayotumia,ndiomana,unaona
nimeandika,kiwembamba,
nikiandika
kiunene
ndo
hutanielewa
kabisa,coz
nikiacha
space
nahamía
mstari
mwingine.
mimi
ni,binti
wa,miaka26,
tatizo
langu,mimi
nimwembamba
sana,adi
ninajichukia,kiasi
kwamba,ata
nikivaa,nguo
nahisi
hazinipendezi,nahitaji,niongezeke
angalau
ata,kidogo,mwanzoni,nilijua
nikwasababu
ya,masomo,nimeshamaliza
chuo,nna
mwaka,sasa
bt,sioni
dalili
zozote,nisaidien
ushauri,nifanye
nini,au
nitumie
nini
niweze
kuongezeka
ata
kídogo
jamani.
kunenepa mbona simple...fata menu hii
asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
saa kumi na mbili grandmalta tano
usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
wiki moja tu utajisahau
kunenepa mbona simple...fata menu hii
asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
saa kumi na mbili grandmalta tano
usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
wiki moja tu utajisahau
ridhika na jinsi ulivyo ndivyo ulivyoumbwa!!
Khaa, watu wenginge bana. Ameshasema haridhiki na alivyo, so kama huna ushauri chapa lapa bana, khaaa!
Jigongee hapo mwayego.
high-calorie-foods-to-gain-weight-fast
Another two important things.
Pata muda wa kupumzika wa kutosha especially after mlo.
Remove all stresses.
Tupo pamoja na ukinenepa usikose kurudi jamvini kutupa maendeleo yakook
thanxs
kunenepa mbona simple...fata menu hii
asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
saa kumi na mbili grandmalta tano
usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
wiki moja tu utajisahau