Lis
JF-Expert Member
- Jun 2, 2012
- 471
- 345
Mimi ni binti wa,miaka26, tatizo langu ni kuwa mimi ni mwembamba sana hadi ninajichukia. Kiasi kwamba hata nikivaa nguo nahisi hazinipendezi. Nahitaji niongezeke angalau hata kidogo. Mwanzoni nilijua nikwasababu ya,masomo. Sasa nimeshamaliza chuo na nina mwaka sasa lakini sioni dalili zozote.
Jamani naomba mnisaidie ushauri,nifanye nini,au nitumie nini niweze kuongezeka hata kídogo...
Jamani naomba mnisaidie ushauri,nifanye nini,au nitumie nini niweze kuongezeka hata kídogo...