CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,789
- 1,782
Lis hii mada ungeipeleka jukwaa la jf doctor',hapa unachorwa tu.
Akienda JF doctor bado atakutana na Bishanga yule yule.
Lis hii mada ungeipeleka jukwaa la jf doctor',hapa unachorwa tu.
ikiwa huumwi basi usitumie chochote kuongeza unene. wakati wa kuwa mnene utafika na utaongezeka. pia usijiumize kichwa eti hupendezi. kupendeza kwako ni kutoka watu wanavyokuona. uwe na furaha, wapo wanao kuona unapendeza ila wewe hujui. furahi, kwa maana wenzio wanatafuta kuondoa unene kwasababu ya matatizo ya unenemimi
ni,binti
wa,miaka26,
tatizo
langu,mimi
nimwembamba
sana,adi
ninajichukia,kiasi
kwamba,ata
nikivaa,nguo
nahisi
hazinipendezi,nahitaji,niongezeke
angalau
ata,kidogo,mwanzoni,nilijua
nikwasababu
ya,masomo,nimeshamaliza
chuo,nna
mwaka,sasa
bt,sioni
dalili
zozote,nisaidien
ushauri,nifanye
nini,au
nitumie
nini
niweze
kuongezeka
ata
kídogo
jamani.
ikiwa huumwi basi usitumie chochote kuongeza unene. wakati wa kuwa mnene utafika na utaongezeka. pia usijiumize kichwa eti hupendezi. kupendeza kwako ni kutoka watu wanavyokuona. uwe na furaha, wapo wanao kuona unapendeza ila wewe hujui. furahi, kwa maana wenzio wanatafuta kuondoa unene kwasababu ya matatizo ya unene
ok,nisaidie
dawa
yake.
Khaa, watu wenginge bana. Ameshasema haridhiki na alivyo, so kama huna ushauri chapa lapa bana, khaaa!
Jigongee hapo mwayego.
high-calorie-foods-to-gain-weight-fast
Another two important things.
Pata muda wa kupumzika wa kutosha especially after mlo.
Remove all stresses.
Mimi ni binti wa,miaka26, tatizo langu ni kuwa mimi ni mwembamba sana hadi ninajichukia. Kiasi kwamba hata nikivaa nguo nahisi hazinipendezi. Nahitaji niongezeke angalau hata kidogo. Mwanzoni nilijua nikwasababu ya,masomo. Sasa nimeshamaliza chuo na nina mwaka sasa lakini sioni dalili zozote.
Jamani naomba mnisaidie ushauri,nifanye nini,au nitumie nini niweze kuongezeka hata kídogo...
Hahahaha., duh! mkuu acha ubishi asee, muache dada wa watu aongeze tunyama bana..!
kunenepa mbona simple...fata menu hii
asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
saa kumi na mbili grandmalta tano
usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
wiki moja tu utajisahau
Mimi ni binti wa,miaka26,
tatizo langu ni kuwa mimi ni mwembamba sana hadi ninajichukia. Kiasi
kwamba hata nikivaa nguo nahisi hazinipendezi. Nahitaji niongezeke
angalau hata kidogo. Mwanzoni nilijua nikwasababu ya,masomo. Sasa
nimeshamaliza chuo na nina mwaka sasa lakini sioni dalili zozote.
Jamani naomba mnisaidie ushauri,nifanye nini,au nitumie nini niweze
kuongezeka hata kídogo...