Wenzangu nimekuwa nikibrowse Forum ya Mahusiano huku nikiangalia ITV ikionyesha Taarab. Kwa bahati mbaya nimekuwa nikikwazika na waimbaji wengi wa kiume kwa kipindi kirefu lakini leo kwa vile niko hapa nimeamuwa kutowa dukuduku langu.
Ni kipi hasa kinachowapelekea wenzetu wa Kiume kuipenda fani hii?
Ni kipi hasa kinachowapelekea wenzetu wa Kiume kuipenda fani hii?