jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
Mbona wanasahau wale wanamuziki wa bongo fleva wanaovaa suruali katikati ya makalio?
we umenena vemamusic like any other musician
Dume rijali haliwezi kuimba au kuwa taarabu addicted!!
Dah!Jamani tukubali kwamba taarabu imekaa kike zaidi maana 99% ya maudhui yake ni mipasho ya wanawake tu,binafsi sipendi taarabu ila inaweza tokea nikatokea kuupenda wimbo flani wa taarabu kutokana na kuwa nausikia ukipigwa kila sehemu!!Mwanaume anayeimba taarabu na yule ambaye ni adicted na taarabu hata mimi namtilia mashaka maana sijaona burudani inayopatikana humo zaidi ya kupigana vijembe wanawake na matusi ya mafumbo!!Dume rijali haliwezi kuimba au kuwa taarabu addicted!!
Sauti zina nini na hivyo vidole juu inakuwaje?
Nipe na mifano ya hao waimbaji wanao kukwaza
Ni midume dume tu! Sina hofu na hao!ushawahi kuwasikiliza Sikinde, Ndekule, Msondo, Matimila, Bima Lee, Zembwela etc ?
mtu kama mzee yusuph kuenesha urijali wake ana mke zaid ya mmoja...
mbona hukwaziki na ze comedy wanaovaa nguo za kike na kuiga sauti kabisa ....
ni sanaa tu mkuu na sanaa ina wigo mkubwa
cheki hii clip mzee yusuph alvyokuwa DC na mashabiki wake ..
bora hata wewe unatishika tu.
Mie nawaogopa, akikatiza mtaani natimua mbio.
Mwanamme kajilegeza kama tonge limepakwa mlenda? No, no!
Walisema zamani "zumari ikipigwa kisiwani, Bara hucheza"! Mbona hakuna kurudi nyuma Dar kumejaa vikundi vya Taarab na kila siku vinazaliwa vipya!Bora tu wabara wasijue mambo ya kimwambao.
Mwanamme gani kiuno legelege, jicho nusu mwezi, kidole kinapepea hewani kama antena ndogo za TV?
Labda kwa kuwaangalia tu, but for consumption, hell NO.
usichokipenda wewe c wote hawapendi,na ukipendacho wewe wengine hawapend.So hakuna kukritisaiz wenzio:A S-frusty2:
neno sahihi ni kutishika au kukerwa?...
sidhani kama wanatisha...nafikiri wanakwaza baadhi ya watu.....
Mbona wanasahau wale wanamuziki wa bongo fleva wanaovaa suruali katikati ya makalio?
na mm pia natishika na ww mwanaume kubrowse taarab
Umeangalia vidole vyao vya mkononi wanavyoviweka? JE mapozi? Hakika mtoa mada ameona ninachokiona kwa wengi wao dalili za "kukameruniwa"Mi naona ni kama fani nyingine.. Tena wanaume waimba taarab huwa wanavimaneno fulani vitamu kusikiliza..
Nakushangaa! Kitu kinakukwaza lakini kumbe ndio kila siku hakikupiti!Wenzangu nimekuwa nikibrowse Forum ya Mahusiano huku nikiangalia ITV ikionyesha Taarab. Kwa bahati mbaya nimekuwa nikikwazika na waimbaji wengi wa kiume kwa kipindi kirefu lakini leo kwa vile niko hapa nimeamuwa kutowa dukuduku langu.
Ni kipi hasa kinachowapelekea wenzetu wa Kiume kuipenda fani hii?